• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

SIDO yatoa mafunzo ya ubanguaji korosho kwa wajasiriamali Lindi

Patricia Richard by Patricia Richard
January 18, 2019
in UJASIRIAMALI
0
Korosho ni mapatano-Manyanya
Share on FacebookShare on Twitter

Ofisa Uendelezaji Mafunzo kutoka Shirika la Kuhudumia Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Isack Daniel amesema Shirika hilo limewapatia mafunzo ya ubanguaji korosho kwa  wajasiriamali 48 kutoka wilaya za Lindi na Nachingwea mkoani Lindi. Katika mafunzo hayo, wajasiriamali wamejifunza hatua za ubanguaji bora wa korosho, teknolojia, usalama na afya kiwandani. Ofisa huyo ameeleza kuwa, mafunzo hayo yanalenga kuongeza kasi ya uongezaji wa thamani katika zao la korosho ili wananchi waweze kupata ajira na kutengeneza kipato kupitia ubanguaji.

Mbali na hayo, mambo mengine waliyojifunza wajasiriamali hao ni ubora, usalama na usafi wa chakula (korosho) katika uzalishaji, matumizi na matengenezo madogo madogo katika mashine za ubanguaji, upangaji wa madaraja, ufungashaji na utunzaji wa madaraja kwa korosho ambazo tayari zimebanguliwa.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake Meneja wa SIDO mkoani Lindi, Mwita Kasisi amesema mafunzo hayo ni endelevu katika wilaya nyingine na yatafanyika kulingana na mahitaji ya wilaya husika.

“Baada ya mafunzo hayo washiriki wataweza kupata ajira kutokana na viwanda vya ubanguaji wa korosho vitakavyofunguliwa na wengine watakwenda kuanzisha viwanda vyao ambavyo vitatengeneza ajira kwa wananchi wengine”. Ameeleza Kasisi.

Tags: ajirakorosholindiSidoTeknolojiauzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Anna Mghwira  (wa pili kushoto) na Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Bia Tanzania, Mwamba Stanslaus wakionesha nembo ya Mbio za Kilimanjaro Premium Lager Marathon 2019 ili kuashiria uzinduzi wa mbio hizo kimkoa. Wengine kutoka kushoto ni , Meneja wa Tigo Kanda ya Kaskazini Lilian Mwalongo, Mwenyekiti wa Chama Cha Riadha Mkoa wa Kilimajaro Livingstone Mtacha, mwakilishi kutoka Chuo Kikuu cha Ushirika Moshi Jaffar Kiongo, Mkuu wa wilaya ya Moshi Kippy Warioba, Ofisa Mkuu wa Mauzo na Masoko wa Kibo Palace Patricia Maina na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Raymond Mboya. Uzinduzi huo ulifanyika katika viwanja vya Kibo Palace Homes Mjini Moshi.

Kilimanjaro Marathon yazinduliwa rasmi Moshi

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In