• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

UBUNIFU WA FANICHA NI FURSA KIBIASHARA

Jensen Kato by Jensen Kato
May 4, 2020
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Kutokana na changamoto ya ajira nchini, vijana wengi wameamua kujiongeza na kuwa wabunifu. Ubunifu huu si tu kwa wasomi pekee, bali hata walioishia darasa la saba wamekua wakiufanya au kuiga wakiendeleza pale walipoishia wengine.

Moja ya faida ya kukosekana kwa ajira ni kukua kwa ubunifu hasa wa kibiashara na hivyo kupelekea kukua kwa biashara ya furniture za majumbani na hata maofisini. Biashara hii ilikua ikifanywa kwa uchache na mafundi seremala ambao walijikita zaidi katika kutengeneza vitu kama madirisha na milango huku furniture za ndani hasa sebuleni wakizipa umuhimu kiduchu.

ADVERTISEMENT

Ushindani ni kitu kizuri na kinalipa, baada ya kuwapo kwa wimbi kubwa la vijana waliokimbilia ufundi stadi hasa useremala na hivyo kuongeza idadi ya mafundi mtaani na ushindani kukua, hali ambayo kwa kiasi kikubwa imepelekea ubunifu kuongezeka na jamii kuanza kupata matokeo chanya.

Kupendeza kwa mandhari ya sebule na varanda za nyumba mbalimbali nchini ni matokeo ya ubunifu huu wa mafundi seremala. Vijana wengi wamejikita katika kutengeneza meza za kuwekea televisheni na maua, meza zakahawa (coffee table), meza za chakula (dining table), seti za masofa,vitanda vya wakubwa na watoto, makabati ya nguo na vyombo n k.

ADVERTISEMENT

Biashara hii licha ya kutatua changamoto ya ajira, pia imeongeza kipato cha mtu na mtu, familia na taifa kwa ujumla.Ubunifu katika furniture umepelekea kuongezeka kwa soko la wanaozitumia hivyo baadhi ya vijana wameamua kuanzisha viwanda vidogo ambavyo vinaliingizia taifa kodi ya mapato.

Licha ya kukua na kupendwa kwa furniture hizi za mitaani, baadhi ya mafundi wamekuwa sio waaminifu kwa kuchukua pesa za wateja na kutokomea kusikojulikana ama kutokabidhi kazi kwa wakati kama inavyopaswa. Vijana wanatakiwa kuwa waaminifu kwa wateja, pia warasimishe biashara zao kwa kujenga jina na kuwa na eneo maalumu la kufanyia kazi(work shop) ili kuongeza uaminifu na ufanisi.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

Bank na Umuhimu wa kuelimisha wateja

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In