• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Unaifahamu vizuri biashara ya ubadilishaji fedha?

Patricia Richard by Patricia Richard
September 14, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Nchi 10 bora kwa biashara Afrika
Share on FacebookShare on Twitter

Ubadilishaji fedha ni biashara ambayo imekuwepo kwa muda mrefu hata kabla ya uhuru. Biashara ya ubadilishaji fedha ni biashara imekuwa ikiwarahisishia kazi wageni wanaokuja nchini pamoja na watanzania wanaosafiri kwenda nje. Biashara ya ubadilishaji fedha inahusisha mabadilishano ya fedha za kigeni na zile za ndani kwa makubaliano yenye kwenda sambamba na thamani ya fedha kwa kila mmoja wapo.

Hii ni biashara ambayo kampuni kubwa za kifedha zimekuwa zikifanya ikiwemo Western Union na Paypal.

Unachotakiwa kufanya ni kuhakikisha una mipango madhubuti juu ya biashara yako ikiwa ni pamoja na kuwa na eneo la biashara lenye vitu vichache ikiwemo kompyuta, chumba cha kubadilishia fedha na huduma ya mtandao.

Kariakoo jijini Dar es salaam ni moja kati ya sehemu iliyojizolea umaarufu kutokana na biashara hiyo, lakini si Dar es salaam tu, bali sehemu nyingi hapa Tanzania zimekuwa pia zikifanya biashara hii. Zifuatazo ni njia za namna unavyoweza kuanzisha biashara ya ubadilishaji fedha na kufanikiwa ndani ya muda mfupi.

Zingatia eneo la biashara

Moja ya vitu vinavyofanya Kariakoo kuwa sehemu bora zaidi kwa ubadilishaji fedha ni kutokana na msongamano na uwingi wa fursa za biashara katika eneo hilo. Mtu yeyote anayetegemea kuanzisha biashara hii anashauriwa kuifanya katika sehemu yenye mkusanyiko wa watu na fursa nyingi za kibiashara.

Kibali na leseni ya biashara

Moja ya vitu vitakavyoifanya biashara yako kutambulika ni pamoja na kisajili sambamba na kutoa kodi. Serikali kupitia TRA imekuwa ikifuatilia kwa ukaribu kuhusu mwenendo wa ulipaji kodi, mapato na usajili wa biashara ili kuongeza mapato ya ndani. Kwa wale ambao wamekuwa wakikiuka biashara hizi mara nyingi biashara zao zimekuwa zikifungwa. Hivyo kufungua biashara bila kuwa na leseni ni kosa kubwa kisheria

Kufungua akaunti ya benki

Wafanyabiashara wa huduma za ubadilishaji fedha wanashauriwa kufungua akaunti za benki ili kurahisisha huduma na kufanya miamala popote walipo pasipo kujali muda au eneo.

Kutoa taarifa ya kodi na utunzaji kumbukumbu

Waswahili wanasema mali bila daftari huisha bila habari hivyo ni vizuri kuwa na kumbukumbu ya kile kinachofanyika ili kuepuka hasara hapo baadae.Lakini pia kutunza kumbukumbu za kodi ili TRA itakapouliza historia yako ya ulipaji kodi wa taasisi hiyo iwe rahisi kudhihirisha ubora wao katika ulipaji kodi.

ADVERTISEMENT

Kuelewa mzunguko wa biashara

Mzunguko wa biashara ni kitu cha muhimu kufanya kwa sababu kupitia hilo itasaidia kujua namna ya kukabiliana.na ushindani wa watu wengine wenye biashara kama yako. Siku zote wateja wako wakigundua kuwa umekuwa ukitumia kima cha kuridhisha pindi unapobadilisha fedha watajaribu hata kuchukua akiba iliyobaki ili wamalizie.

Kama zilivyo biashara nyingine uthubutu na kuweka nia katika biashara yako, hivi vitu vinaweza kupima na kutabiri maisha yako ya baadae. Fursa hii ni kubwa wala haihitaji pesa nyingi sana badala yake Tanzania inahitaji mtu aliye tayari kufanya kazi na mwenye kujituma.

 

 

 

Tags: biasharafedha za kigeniTRAuchumiuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Kijaji: Wateja wa FBME kulipwa

Viashiria vya kukua uchumi vyatajwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In