• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vitambulisho vya Magufuli vyaanza kutolewa Tabora

Vitambulisho vilivyotolewa na Rais ni maalum kwa wajasiriamali wadogo na sio vinginevyo.

Patricia Richard by Patricia Richard
December 20, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Wajasiriamali wahimizwa kuchangamkia vitambulisho

Mkuu wa mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri (wenye tshirt ya njano) akimkabidhi vitambulisho 6250 Mkuu wa wilaya ya Nzega Godfrey Ngupula (kushoto) kwa ajili kwenda kuwagawia wajasiriamali wilayani kwake. (Picha na Tiganya Vincent)

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri amewaonya wajasiriamali wadogo mkoani humo kutotumia vitambulisho vilivyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli kufanya biashara za wafanyabiashara wakubwa kwani vitendo hivyo ni ukwepeji kodi. Mwanri amesema hayo wakati akigawa vitambulisho 25,000 kwa wakuu wa wilaya saba za mkoa huo na viongozi watatu wa wajasiriamali kutoka manispaa ya Tabora kuashiria uzinduzi wa zoezi hilo mkoani humo. Mkoa huo ulipatiwa jumla ya vitambulisho 25,000 na halmashauri zote nane za Tabora zimepata vitambulisho 3,125.

Mkuu huyo amesema vitambulisho vilivyotolewa na Rais ni maalum kwa wajasiriamali wadogo na sio vinginevyo. Ni kwa ajili ya kundi la watu ambao biashara zao kwa siku zote 365 za mwaka hazizidi mapato ya Sh. 4 milioni. Mwanri ameongeza kuwa kwa mujibu wa Sheria ni kosa kuazimisha kitambulisho au kubeba bidhaa za wafanyabiashara wakubwa na kusisitiza atakayebainika atafikishwa katika vyombo vya Sheria na hatua zaidi zitachukuliwa.

ADVERTISEMENT

Naye Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani humo Thomas Masese amesema wanaostahili kupata kitambulisho hicho ni walio na mauzo ghafi yasiyozidi Milioni 4 kwa mwaka. Ameeleza kuwa wafanyabiashara hao watatakiwa kulipia Sh. 20,000 kwa ajili ya kitambulisho baada ya kujaza fomu maalum inayopatikana kwa Mkuu wa mkoa au wilaya.

Aidha Meneja huyo ametangaza kuwa kuanzia sasa, vitambulisho vilivyokuwa vikitolewa na mamlaka hiyo kwa ajili ya wajasiriamali vimesitisha na vitakavyotumika sasa ni vile ambavyo vimetolewa na Rais Magufuli.

Tags: biasharaMagufulimapatoTaboraTRA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) Richard Mayongela akimueleza Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe (kulia), changamoto zinazoikabili Mamlaka hiyo, wakati alipotembelea kukagua miundombinu mbalimbali kwenye kiwanja cha ndege cha kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA).

TAA kuboresha huduma zake

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In