• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Dk. Tizeba azuia halmashauri kutoa vibali kununua kahawa

Patricia Richard by Patricia Richard
October 8, 2018
in KILIMO
0
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba “amepiga stop” halmashauri zote nchini kutoa vibali kwa wafanyabiashara vya kununua kahawa kwa wakulima. Waziri Tizeba ametoa zuio hilo alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi kwenye mkutano wa hadhara wilayani Karagwe wakati wa muendelezo wa ziara ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa iliyoanza siku chache zilizopita mkoani Kagera.

“Wafanyabiashara wa kahawa ili wanunue zao hilo walikuwa wanaenda kuomba kibali cha ununuzi kilichokuwa kinatolewa na halmashauri za wilaya, Hili jambo tumelitafakari na wenzangu wa wizara hususani watendaji pamoja na Bodi ya kahawa tumeona halina maana tena”. Ameeleza Dk. Tizeba.

ADVERTISEMENT

Waziri Tizeba amesisitiza kuwa hakuna sababu ya wafanyabiashara kuomba vibali vya kununua kahawa kwenye halmashauri na badala yake, itajitosheleza kuwa na leseni ya biashara ya kahawa inayotolewa na Bodi ya Kahawa Tanzania, jambo ambalo linawatambulisha wafanyabiashara kama walipa kodi.

“Sasa hivi tunaingia kwenye mfumo wa ushirika hivyo wafanyabiashara watanunua kahawa kupitia mfumo huo mahususi hivyo hakuna sababu ya kusumbuliwa na halmashauri kwa kupewa vibali”. Amesema Dk. Tizeba.

Akizungumza kuhusu kahawa ya madaraja ya chini, Waziri huyo amesema kuwa, kahawa hiyo imekuwa ikizuiliwa kuuzwa nje ya nchi kwa kipindi kirefu sasa. Kwa mujibu wa utafiti wa kubaini namna inavyotumika nchini imeonekana kuwa kahawa hiyo hununuliwa na watu wachache ambao wanaratibu utaratibu wa kuuza nje huku waliokoboa wakizuiwa kuuza nje.

Tags: biasharaDk. Charles Tizebakahawakodi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Kalemani amcharukia mkandarasi

Umeme wazidi kupenya vijijini

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In