• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

NDEGE ZA ABIRIA 200 KUANZA KUTUA DODOMA

Serikali imesema kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma.

Jensen Kato by Jensen Kato
June 24, 2020
in UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali imesema kukamilika kwa upanuzi wa mita 250 katika kiwanja cha ndege cha Dodoma kutaruhusu ndege kubwa zenye uwezo wa kubeba abiria zaidi ya 200 aina ya Airbus kuruka na kutua kiwanjani hapo.

Akizungumza mara baada ya kukagua maendeleo ya upanuzi huo Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Isack Kamwelwe, amesema lengo la upanuzi huo ni kuruhusu ndege nyingi zaidi kutoa huduma kwa wakazi wa Mkoa wa Dodoma na mikoa ya jirani.

“Kiwanja hiki kiliongezwa urefu lakini mahitaji yaliyopo sasa ni makubwa, tumelazimika kuongeza tena urefu ili kukidhi mahitaji kwani idadi ya watu inaongezeka kila siku kwa kuwa Dodoma ni Makao Makuu sasa ya Serikali”, amesema Waziri Mhandisi Kamwelwe.

Waziri Mhandisi Kamwelwe amesema pamoja na upanuzi wa uwanja huo, Serikali imetangaza zabuni kwa ajili ya kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato na zabuni hizo zitafunguliwa mwezi Julai ili kuendelea na taratibu za ujenzi.

ADVERTISEMENT

Aidha, Waziri Kamwelwe ameongeza kuwa pamoja na changamoto ya ugonjwa wa Corona (COVID 19) kuchangia ucheleweshaji wa ufunguaji na uchambuaji wa zabuni, Serikali inaendelea kuandaa mazingira ili mradi huo uanze.

Katika hatua nyingine Waziri Mhandisi Kamwelewe amesema Serikali iko katika hatua za mwisho kukamilisha taratibu za ujenzi wa barabara za mzunguko jijini Dodoma (ringroad) zenye urefu wa kilometa 112 ambao utakuwa na wakandarasi watatu.

Kwa upande wake Meneja wa Wakala wa Barabara Nchini (TANROADS) Mkoa wa Dodoma, Mhandisi Leonard Chimagu, amemuhakikishia Waziri kuwa ujenzi huo unakamilika kwa wakati, viwango na kuzingatia thamani ya fedha.

Mhandisi Chimagu ameongeza kuwa pamoja na kuwa kulikuwa na changamoto ya maji mengi, lakini wahandisi walipambana na kukabiliana na maji hayo kwa kuanza na uwekaji wa mawe makubwa kabla ya tabaka la kwanza ili kuimarisha barabara ya kuruka na kutua ndege.

Mradi wa upanuzi wa Kiwanja cha Ndege cha Dodoma, unafanywa na Kampuni ya CHICCO, na unatarajiwa kukamilika mwezi Agosti mwaka huu na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 3.5.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

UNATATIZO LA KUMALIZA PESA MAPEMA BILA MPANGILIO MAALUMU?

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In