• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Majaliwa ataka wataalamu wa ufuta kuhamia Dodoma

Patricia Richard by Patricia Richard
September 21, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amemtaka Waziri wa Kilimo, Dk. Charles Tizeba kupeleka wataalamu kwenye kituo cha utafiti cha Makutupora, Dodoma ili kuchochea uzalishaji wa mbegu bora za ufuta. Majaliwa amesema hayo wakati akizungumza na wananchi wa wilayani Kondoa ambapo alikuwepo kwa ajili ya kukagua ujenzi wa kituo cha afya ikiwa ameanza ziara ya kikazi ya wiki moja mkoani humo.

“Ili mradi mikoa ya kanda ya kati inazalisha ufuta, ninamuagiza Waziri wa Kilimo ahamishe watumishi kutoka kokote ili wakae Makutupora na kuwasaidia wakulima wawe na mbegu bora zenye kutoa mafuta mengi”. Amesema Majaliwa.

Waziri Mkuu amedai kuwa kila mwaka, serikali hutumia Dola za Marekani 267 milioni kuagiza mafuta ya kula kutoa nje na kuongeza kwamba, hivi sasa wameamua kufufua mazao ya mbegu za mafuta ili mafuta ya kula yazalishwe kwa wingi hapa nyumbani.

ADVERTISEMENT

“Sasa hivi tumeanza kufufua mazao ya mbegu za mafuta na nilianza mkoa wa Kigoma kwa kuhimiza kilimo cha michikichi. Sasa hivi niko Dodoma nahimiza ufuta na alizeti na nitaenda Singida kwa ajili ya zao hilo la alizeti”. Amesisitiza Waziri Majaliwa.

Kuhusu suala la bei, Waziri Mkuu ametoa maagizo kwa Mkuu wa mkoa huo, Dk. Binilith Mahenge kuwasiliana na wakuu wa mikoa ya Lindi na Mtwara ili kufahamu mbinu walizotumia kuhimiza zao. Pamoja na hayo, Majaliwa amemtaka asimamie na kuhakikisha kuwa katika msimu ujao, mauzo ya zao hilo yanafanyika kwa njia ya minada ili wakulima wapate bei nzuri.

Tags: Dk. Charles TizebaDodomaKassim MajaliwaUfutauzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Ineke Bussemaker.

Wafanyabiashara washauriwa kuchangamkia kituo

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In