• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wafanyabiashara washauriwa kuchangamkia kituo

Patricia Richard by Patricia Richard
September 21, 2018
in BENKI
0
Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Ineke Bussemaker.

Mkurugenzi Mtendaji wa NMB, Ineke Bussemaker.

Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk. Stephen Kebwe ametoa wito kwa wafanyabiashara mkoani humo kutumia vizuri uwepo wa kituo cha biashara cha benki ya NMB ili kuwa katika nafasi nzuri ya kupata fursa za mitaji na masoko. Dk. Kebwe amesema hayo wakati wa uzinduzi wa kituo hicho cha NMB akisisitiza kuwa, kituo hicho kinalenga kuwasaidia wafanyabiashara kutoka mkoani humo.

Katika hotuba yake imeelezwa kuwa NMB imewekeza katika kituo hicho kutokana na fursa lukuki za kiuchumi zilizopo mkoani Morogoro kama vile kilimo, utalii pamoja na madini huku wakazi wa mkoa huo wakishindwa kufaidika na rasilimali zinazowazunguka. Kituo hicho mbali na kuwaunganisha wafanyabiashara na kuwapatia elimu pia kitatoa huduma ya utoaji mikopo.

ADVERTISEMENT

Akizungumzia uzinduzi huo, Mkurugenzi Mtendaji wa NMB Ineke Bussemaker amesema kituo hicho cha Morogoro ni kituo cha kumi hapa nchini akifafanua kuwa lengo la kuanzisha vituo hivyo ni kusaidia wafanyabiashara na shughuli zao.

“Tumekuwa tukiunga mkono serikali katika jitihada zake mbalimbali ikiwemo kusaidia kukusanya kodi na sasa katika kuelekea uchumi wa viwanda tumeelekeza juhudi zetu kuwasaidia wafanyabiashara kwa kuanzisha kituo maalum ambacho watakutana na maofisa wetu na kuwapatia ushauri”. Ameeleza Bussemaker.

Mbali na kuzindua kituo hicho, benki ya NMB pia imetoa msaada wa madawati yenye thamani ya Sh. 10 milioni kwa shule za sekondari Lupanga na Kilakala zilizopo katika manispaa ya Morogoro.

Tags: biasharaIneke BussemakerkodiMitajiMorogoroNMB
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na wenye Ulemavu,Jenista Mhagama.

Serikali yafuta tozo kuwavuta wawekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In