• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, January 21, 2021
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima wa mpunga washauriwa kuunda ushirika

Patricia Richard by Patricia Richard
July 19, 2018
in KILIMO
0
Mbinu za kuongeza uzalishaji
Share on FacebookShare on Twitter

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wakulima wa zao la mpunga kutoka Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga kuanzisha Chama cha Ushirika kwa ajili ya zao hilo ili wauze kwa bei wanayotaka. Majaliwa amedai wakulima hasa wa mazao ya chakula na biashara wamekuwa wakitumia nguvu na fedha nyingi katika uzalishaji lakini kutokana na kila mmoja kuuza kwa bei yake, wamekuwa wakipata fedha kidogo.

Majaliwa amedai serikali inadhamiria kuona wakulima wote hapa nchini wakinufaika na kilimo chao na kuagiza kaofisa kilimo kuwatembelea wakulima mashambani katika maeneo yao na kuwaelimisha kuhusu namna ya kufanya kilimo cha kisasa na chenye tija.

ADVERTISEMENT

Pamoja na yote hayo, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wakulima kujenga mazoea ya kutunza fedha wanazopata baada ya kuuza mazao ili ziwasaidie kujiandaa na msimu unaofuata na pia kuondokana na madeni kwani wengi hukopa fedha na kuzitumia katika shughuli za kilimo.

Tags: fedhaKassim MajaliwakilimoMpungaShinyangauzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Ukiukaji wa masharti waiponza NMB

Discussion about this post

Habari Mpya

Rais Magufuli atangaza ajira mpya za walimu 5,000

January 20, 2021

DStv yatangaza promosheni ‘Panda Tukupandishe’

January 19, 2021

Waziri Dk. Ndugulile aitaka TTCL kuacha kufanya biashara kwa mazoea, aipongeza

January 19, 2021

40 wavuta mkwanja Droo ya 6 NMB MastaBATA

January 19, 2021

Tiketi za mabasi sasa kwa njia ya mtandao

January 12, 2021

Watanzania wengi hawajui bima ya maisha 

January 12, 2021
No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2021 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Create New Account!

Fill the forms below to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In