• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima walalamikia bei ya pamba

Patricia Richard by Patricia Richard
September 4, 2018
in KILIMO
0
Brazil kuinua uzalishaji pamba EAC
Share on FacebookShare on Twitter

Wakulima wa pamba mkoani Geita wameiomba serikali kuangalia namna ya kuwasaidia ili kuhakikisha bei ya zao hilo inawanufaisha wakulima. Mbali na changamoto ya bei, wakulima hao wametoa wito kwa serikali kutoa viuatilifu vya kutosha ili waweze kuzalisha mazao bora na yenye tija.

Soma Pia Kero hizi zitatuliwe kuinua kilimo

Akizungumza katika kikao  kilichowakutanisha viongozi wa serikali za vijiji na kata, maofisa kiimo na wananchi, mmoja ya wadau wa zao hilo amedai mkulima mwenye heka 10 amekuwa akipatiwa chupa moja ya viuatilifu, kiasi ambacho hakitoshelezi na inakatisha tamaa kwa wakulima hao kuendelea kuweka nguvu katika uzalishaji wao.

Akitolea ufafanuzi kuhusu kero hiyo, Afisa Kilimo kata ya Butizya, Rhoda Mbonye amesema kuwa wakulima wengi wanakata tamaa kutokana na kutorejesha gharama za uzalishaji wanapouza mazao yao na hivyo kupata hasara. Naye Joseph Machibya ambaye ni Ofisa Kilimo na Umwagiliaji wa Wilaya ya Bukombe, amedai serikali kwa kushirikiana na Bodi ya Pamba nchini ndiyo wamekuwa wakipanga bei ya zao hilo kwa kuangalia bei ya soko la dunia.

ADVERTISEMENT

Soma Pia Wasomi washauriwa kuchangamkia kilimo

Kuhusu uhaba wa viuatilifu, Machibya amesema wakulima wapatao 13,569 ndio waliofaidika na viuatilifu kupitia usajili uliofanyika katika vijiji mbalimbali ikiwa ni matokeo ya udhamini kutoka kampuni za ununuzi wa pamba. Kwa upande wake, Mkuu wa wilaya ya Bukombe, Said Nkumba amewataka viongozi wa kata na vijiji kufuatilia wananchi wote wanaodaiwa na serikali huku akionya kuwa, watakaokiuka watachukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria.

Tags: biasharakilimopamba
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Mkurugenzi Mtendaji wa Forodha na Biashara EAC,Kenneth Bagamuhunda.

Biashara EAC juu

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In