• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Biashara EAC juu

Patricia Richard by Patricia Richard
September 4, 2018
in BIASHARA, HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Mkurugenzi Mtendaji wa Forodha na Biashara EAC,Kenneth Bagamuhunda.

Mkurugenzi Mtendaji wa Forodha na Biashara EAC,Kenneth Bagamuhunda.

Share on FacebookShare on Twitter

Biashara kati ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) imeendelea kukua na kupandisha mauzo kutoka Dola za Marekani 1.5 bilioni mwaka 2015 hadi Dola 5.5 bilioni mwaka 2017, ikiwa ni ongezeko la Dola bilioni nne za Marekani ambazo ni sawa na takribani trilioni 8.4 za Tanzania. Moja kati ya vitu vilivyotajwa kuchangia ukuaji huo ni kuimarika kwa mtangamano ndani ya jumuiya, hivyo kukuza ushirikiano katika sekta mbalimbali zikiwemo za biashara na masoko.

Mkurugenzi Mtendaji wa Forodha na Biashara wa EAC, Kenneth Bagamuhunda amesema japokuwa itachukua muda kuufikia mtangamano kamili, tayari matunda ya kuanzishwa kwa Umoja wa Forodha ndani ya jumuiya mwaka 2005 yameanza kuonekana mapema.

“Tangu Januari 2005, mtangamano katika biashara ndani ya EAC umekuwa na mafanikio makubwa. Mwaka 2005, biashara baina ya mataifa ndani ya jumuiya zilikuwa Dola bilioni 1.5, lakini kufikia mwaka 2017, tunazungumzia dola bilioni 5.5”. Amefafanua Bagamuhunda.

ADVERTISEMENT

Aidha katika maelezo yake, Mkurugenzi huyo amesema kwa kiasi kukubwa, uimarishwaji wa sekta ya miundombinu umerahisisha usafirishaji wa bidhaa kutoka nchi moja kwenda nyingine na hivyo kukuza biashara.

“Mkazo upo katika kuimarisha miundombinu ya usafiri na usafirishaji, huku ndiko tunakoamini kutachangia ukuaji wa kiuchumi ndani ya jumuiya. Tunapambana pia kupunguza vikwazo vya biashara katika nchi wanachama”. Ameeleza Bagamuhunda.

Tags: biasharaEACmiundombinu
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Dk. Kalemani amcharukia mkendarasi

Mradi wa umeme kuokoa mabilioni

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In