• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima washauriwa kuuza kwa bei ya faida

Mtaalamu wa Kilimo Biashara mkoani Mbeya, Robart Mwaluseke amewataka wakulima kuacha mazoea ya kuhifadhi mazao wakisubiri bei ipande ana badala yake amewashauri kuuza kwa bei yoyote wanayoona inawaletea faida.

Patricia Richard by Patricia Richard
October 30, 2018
in KILIMO
0
Ninayo App: Fursa ya kipekee kwa wakulima
Share on FacebookShare on Twitter

Mtaalamu wa Kilimo Biashara mkoani Mbeya, Robart Mwaluseke amewataka wakulima kuacha mazoea ya kuhifadhi mazao wakisubiri bei ipande ana badala yake amewashauri kuuza kwa bei yoyote wanayoona inawaletea faida. Mwaluseke ametoa wito huo katika mkutano wa wadau wa kilimo wilayani Mbarali na kusema kuwa, tabia ya wakulima kufanya hivyo inapelekea ongezeko la gharama.

Mtaalamu huyo ameeleza kuwa ili wadau wa kilimo waweze kufanya vizuri katika sekta ya kilimo biashara, wanapaswa kuwa na utaratibu wa kutunza kumbukumbu za gharama zinazotumika wakati wa uzalishaji ili baada ya mavuno, waweze kulinganisha gharama walizotumia na bei iliyopo sokoni.

ADVERTISEMENT

“Kuna mtu anaweza akauza mazao yake kwa bei kubwa na bado akaingia hasara na mwingine anaweza akauza kwa bei ya kawaida na akapata faida kubwa, hivyo tunawashauri wakulima wabadilike”. Amefafanua Mwaluseke.

Kwa upande wake, Mwakilishi kutoka Mradi wa Nafaka wa Shirika la USAID, Idd Kindamba  amewashauri wakulima kupitia vyama vyao vya ushirika kuanzisha utaratibu wa kupata pembejeo za kilimo ili kuongeza ufanisi katika kilimo chao. Mbali na hayo, Kindamba ameeleza kuwa, kinachopelekea wakulima wengi kupata hasara ni kutokuwa na umoja na kuwashauri wakulima kuwa kitu kimoja ili kusimamia kilimo chao

Tags: biasharakilimoPembejeo za kilimouzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Majaliwa ataka changamoto kilimo zitatuliwe

Majaliwa afurahia uwekezaji Mkinga

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In