• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Majaliwa afurahia uwekezaji Mkinga

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua mbalimbali za uwekezaji katika kijiji cha Mtimbwani wilayani Mkinga

Patricia Richard by Patricia Richard
October 31, 2018
in UWEKEZAJI
0
Majaliwa ataka changamoto kilimo zitatuliwe

Waziri Mkuu wa Tanzania,Kassim Majaliwa.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua mbalimbali za uwekezaji katika kijiji cha Mtimbwani wilayani Mkinga baada ya kutembelea eneo la mradi wa viwanda 11 ikiwemo kiwanda saruji cha Hengya, kiwanda cha vioo, kiwanda cha vifaa vya kisasa vya ujenzi, uzalishaji wa umeme kwa kutumia makaa ya mawe. Majaliwa amesema hayo wakati akizungumza na wananchi wilayani Mkinga ikiwa ni siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi ya siku tatu mkoani Tanga.

Waziri Mkuu ameeleza kuwa, uwekezaji huo utaleta manufaa makubwa kwa taifa na wananchi wa wilaya ya Mkinga kwani utafanikisha kuajiri takribani watu 8,000. Aidha, Majaliwa amewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa wawekezaji hao. Kuhusu wananchi ambao maeneo yao wamechukuliwa na wawekezaji bila kulipwa fidia, Waziri Mkuu amewahakikishia kuwa wote watalipwa.

ADVERTISEMENT

“Muwekezaji amenihakikishia kwamba atawalipa wananchi wote wanaodai fidia”. Amesema Majaliwa.

Katika maelezo yake, Waziri Mkuu amesiitiza kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Magufuli imejipanga kuwatumikia wananchi wote pasipo ubaguzi wa kidini, kisiasa, rangi  na kimapato na kuwataka watumishi wa umma kufanya kazi kwa bidii.

Tags: ajiraKassim MajaliwaTangauwekezajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Waziri wa Biashara na Viwanda Zanzibar,Amina Salum Ali.

Tamasha la tano la biashara kufanyika Zanzibar mwakani

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In