• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Samia agoma kuzindua stendi ya mabasi Kibaha

"Dhumuni lililonileta ni kufungua stendi hii, tumepata malalamiko kidogo hivyo sitaweza kuifungua leo (jana) stendi hii, hivyo naomba mnipe wiki mbili au tatu nitakuja kuifungua".

Patricia Richard by Patricia Richard
October 29, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Makusanyo finyu yamkera Samia

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amegoma kuzindua stendi mpya ya mabasi makubwa ya Maili moja Kibaha mkoani Pwani kufuatia wasiwasi wa utekelezaji wa mradi huo na kusema mara baada ya uchunguzi kufanyika na kujiridhisha na mradi huo, atarudi tena kuuzindua.

“Dhumuni lililonileta ni kufungua stendi hii, tumepata malalamiko kidogo hivyo sitaweza kuifungua leo (jana) stendi hii, hivyo naomba mnipe wiki mbili au tatu nitakuja kuifungua. Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ni sikivu na kusikia malalamiko ya wananchi, tumepata malalamiko kidogo kuhusu stendi hii, serikali ni ya uwazi na ukweli hivyo sitofungua stendi. Naomba shughuli zote ziendelee, napenda kumpongeza sana Mkurugenzi kwa hapa mlipofikia”. Ameeleza Samia.

ADVERTISEMENT

Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya mji wa Kibaha, Jennifer Omolo amesema mradi huo umegharimu Sh. 3.2 bilioni. Stendi hiyo itakuwa na mabanda kumi ya kukata tiketi, mawakala 40, eneo la taxi na wafanyabiashara wadogo takribani 100.

Kwa upande wake, Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Tawala za mikoa na serikali za mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amesema ujenzi wa stendi hiyo ni wa kiwango cha juu ukilinganishwa na stendi tisa zilizopo kwenye mpango huo.

“Kwani kila kazi ina changamoto za kibinadamu, hasi na chanya, lakini wamejitahidi”. Amesema Jafo.

Tags: KibahaSamia Suluhu HassanTamisemiujenzi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Vodacom yasherehekea ‘ubora wa utoaji huduma kwa wateja'

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In