• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Ujenzi wa bandari Pwani wamvutia Kamwelwe

“Kukamilika kwa bandari kavu kutaongeza kasi ya upakuaji mzigo kwa meli zinazoingia Dar es salaam"

Patricia Richard by Patricia Richard
December 11, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, Isack Kamwelwe amesema ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa bandari kavu ya Kwala mkoani Pwani. Waziri Kamwelwe amesema hayo baada ya kutembelea mradi huo unaotekelezwa na Suma-JKT na kueleza kuwa, bandari hiyo inatarajiwa kuanza kupokea mizigo rasmi Julai Mosi 2019 na kuwa suluhisho kwa changamoto ya kuondoa mizigo iliyopo katika Bandari ya Dar es salaam hususani inayosafirishwa kuelekea Rwanda, Uganda, Malawi, Zambia, Congo, Burundi na nchi nyingine za maziwa makuu. Vilevile, Waziri huyo amesema kuwa, bandari hiyo itahusisha pia miundombinu ya reli, barabara na majengo kwa ajili ya ofisi na kutoa huduma mbalimbali.

“Kukamilika kwa bandari kavu kutaongeza kasi ya upakuaji mzigo kwa meli zinazoingia Dar es salaam kwani moja ya changamoto sasa katika bandari hiyo ni ufinyu wa eneo la kuweka makasha”. Amesema Waziri huyo.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Usimamizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedit Kakoko amesema kukamilika kwa mradi huo ambao hadi sasa umegharimu Sh. 15 bilioni kutaiwezesha kupokea na kutunza makasha zaidi ya milioni 1.5 tofauti na hali ilivyo sasa ambapo eneo la bandari linachukua makasha 650,000 pekee.

Tags: bandariIsack KamwelwePwaniTPA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Hisham Hendi (katikati) akiongea na waandishi wa Habari (hawapo pichani)  jijini Dar es Salaam  juu ya kuwatunuku watumiaji wa mtandao wa Vodacom, points za Tuzo zenye thamani ya shilingi bilioni 1 katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu na Mwaka Mpya yenye kaulimbiu 'Nabaki mulemule na Vodacom'. Kushoto ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni hiyo Rossalyn Mworia  na  Kaimu Mkurugenzi wa biashara, Linda Riwa .

Vodacom Tanzania PLC yawatunuku watumiaji wa mtandao bomba Pointi za Tuzo zenye thamani ya shilingi bilioni 1

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In