• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vijiji 25 kuunganishwa gridi ya taifa

Takribani vijiji 25 kati ya vijiji 55 mkoani Njombe vimeunganishwa katika mradi wa umeme wa kilovoti 220 mradi wa Makambako–Songea

Patricia Richard by Patricia Richard
November 6, 2018
in NISHATI
0
Agizo la Kalemani kwa TANESCO

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani.

Share on FacebookShare on Twitter

Waziri wa Nishati, Dk. Medard Kalemani amesema takribani vijiji 25 kati ya vijiji 55 mkoani Njombe vimeunganishwa katika mradi wa umeme wa kilovoti 220 mradi wa Makambako–Songea, mradi ambao umeigharimu Sh. 216 bilioni na kufanya wilaya ya Ludewa kuunganishwa katika gridi ya taifa tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo mwaka 1975. Dk. Kalemani amesema hayo wilayani Ludewa aliposhiriki kuzima mtambo wa umeme unaotumia mafuta mazito na kuwasha ule unaotumia gridi ya taifa uliounganishwa kutoka kituo cha Madaba.

 “Kituo hiki kilikuwa na mashine ya kutumia mafuta mazito yenye uwezo mdogo ilikuwa na uwezo wa megawati 0.5, kwa mtambo huu peke yake tulikuwa tunatumia zaidi ya Sh. 75 milioni kwa kuwasha na kuzima kwa mwezi katika wilaya ya Ludewa”. Ameeleza Waziri Kalemani.

ADVERTISEMENT

Katika maelezo yake, Waziri huyo amesema kuwashwa kwa mitambo hiyo kutaiwezesha serikali kuokoa takribani Sh. 9 bilioni kutokana na kuzimwa kwa umeme wa mafuta mazito baada ya kukamilika kwa miradi mikubwa ya umeme wa maji kupitia kituo cha kusambazia umeme cha Makambako–Songea. Waziri Kalemani amesisitiza kuwa vijiji vyote vya wilaya hiyo vitapatiwa huduma ya umeme hadi kufikia mwezi Aprili mwaka 2019.

Tags: Dk. Medard KalemaniGridi ya taifaNjombeumeme
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wafanyabiashara Mabibo kuhamishiwa Simu 2000

Discussion about this post

Habari Mpya

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla amewasihi mashabiki wa Simba wamtie nguvu Mwekezaji Mohammed Dewji (Mo Dewji) kwa...

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

by Pesatu Reporter
January 30, 2023
0

Rais Samia amesema Serikali imetenga hadi eka 10 kwa kila kijana mwenye sifa za kufanya kilimo nchini Tanzania ili kuiwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In