• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, June 29, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Waajiri wasiotekeleza Sheria ya watu wenye ulemavu wapewa onyo

“Ninawataka waajiri kutekeleza Sheria ya Watu wenye Ulemavu No. 9 ya mwaka 2010 kifungu cha 31"

Patricia Richard by Patricia Richard
November 30, 2018
in AJIRA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge, Sera, Ajira, Kazi, Vijana na Watu wenye ulemavu Stella Ikupa amewataka waajiri hapa nchini kutekeleza Sheria ya watu wenye ulemavu na kuwapatia ajira na kuonya kuwa watachukuliwa hatua vinginevyo. Ikupa amesema hayo jijini Dar es salaam alipokuwa akifungua mkutano wa waajiri kuhusu ajira kwa watu walio na ulemavu uliondaliwa na uongozi wa hospitali ya CCBRT.

ADVERTISEMENT

“Ninawataka waajiri kutekeleza Sheria ya Watu wenye Ulemavu No. 9 ya mwaka 2010 kifungu cha 31 kinachomtaka kila mwajiri mwenye zaidi ya waajiri 20 kuhakikisha asilimia tatu ya waajiri hao ni watu wenye ulemavu. Wengine wamediriki hata kutoa vigezo ambavyo havina sababu za msingi kwa kusema hawana kazi za kuwafaa watu wenye ulemavu. Hawa waajiri nawataka kuachana na mtazamo hasi. Watu wenye ulemavu wana uwezo mkubwa katika utendaji kazi, hivyo msiwabague”. Amesema Naibu waziri huyo.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mwendeshaji Mkuu wa CCBRT, Brenda Msangi amesema wameandaa mkutano huo kama sehemu ya maadhimisho ya siku ya kimataifa ya watu wenye ulemavu ambayo hufanyika 3 Desemba kila mwaka. Mkurugenzi huyo amesema kuwa lengo kubwa la warsha hiyo ni kuongeza uelewa wa waajiri kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika soko la ajira.

Tags: CCBRTsheriaUlemavu
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Taarifa kwa umma kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuhusu kusimamishwa Soko la Jumla la Fedha za Kigeni (IFEM)

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In