• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Umuhimu wa kuelimisha wateja

Benki zipo kwa ajili ya kuwasaidia watu katika masuala ya fedha.

Abdul Kassim by Abdul Kassim
October 22, 2020
in BENKI, BIASHARA, BIASHARA NDOGO NDOGO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mara nyingi bidhaa au huduma huanzishwa kwa ajili ya kuleta suluhisho la tatizo fulani. Benki zipo kwa ajili ya kuwasaidia watu katika masuala ya fedha ikiwa ni pamoja na usalama wa fedha zao, kujipatia mikopo, hata kuweka fedha. Hivyo elimu kwa wateja katika kila benki ni muhimu ili wateja waweze kuwa na ufahamu stahiki na huduma za benki husika na kutathimini kama benki hiyo inafaa katika mahitaji yake au la.

Pia itambulike kuwa kutoa elimu kwa mteja ni tofauti na kuelezea huduma kwa mteja ili aweze kuanza kuitumia huduma hiyo. Elimu inatakiwa kumuelewesha vizuri mteja, ukweli kuhusu huduma na kumpa ujuzi.

Kutoa elimu kwa wateja katika benki husaidia kupunguza malalamiko kwa sababu mteja anakuwa amefundishwa njia mbalimbali za kusuluhisha matatizo madogo madogo, hivyo ikitokea tatizo; badala ya kuwasiliana na benki moja kwa moja anakuwa na uwezo wa kutatua tatizo yeye mwenyewe.

Ikiwa benki itamuelezea hali halisi mteja ya huduma zinazopatikana katika benki husika. Basi mteja atafanya maamuzi kutokana na maelezo aliyopewa. Ndio maana utakuta kuna watu wanaweka fedha katika benki moja, wanaomba mikopo katika benki hiyo hiyo hata kama benki nyingine zina masharti nafuu, hii hutokana na mteja kulidhishwa na huduma zinazotolewa na benki hiyo.

Watu wengi huhamasika zaidi kutumia huduma fulani ikiwa kampuni inayotoa huduma hiyo inawawezesha kujaribu huduma hiyo kwa vitendo kabla ya kufanya maamuzi ya kuitumia. Hivyo benki zikiendelea kuwawezesha wateja kujifunza kwa vitendo na katika mifumo mbalimbali basi wateja wengi watahamasika kutumia huduma za benki.

ADVERTISEMENT

Kutokana na utandawazi, sekta ya teknolojia inaendelea kukua kila siku. Hata benki zinatakiwa kwenda na wakati ili kurahisisha mawasiliano na wateja kila sehemu kwa sababu watu hawana muda wa kwenda benki kujipatia elimu. Hivyo benki zinaweza kutumia njia mbalimbali kutoa taarifa na elimu kwa wateja. Kwa mfano kwa kuwa na tovuti yenye habari, na maelezo mapya kuhusu benki husika, kutumia mitandao ya kijamii kuwasiliana na wateja na kupata maoni nk.

Kwa ujumla, watu wanajali sana usalama wa fedha wanazozitafuta. Hivyo kadri benki inavyorahisisha huduma zake na kuwahakikishia wateja kuhusu usalama wa fedha ndio wateja nao huongezeka. Ukweli ni kwamba wateja hupeana habari kuhusu huduma au bidhaa. Ni muhimu kwa taasisi za kifedha kuhakikisha wateja wanaridhika na huduma kama wanataka kuwahamasisha watu wengine.

Abdul Kassim

Abdul Kassim

Next Post

Airtel Money kulipia tiketi za ndege Air Tanzania

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In