• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Changamkia maonyesho ya biashara

Patricia Richard by Patricia Richard
June 25, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Maonyesho ya biashara hapa nchini yanakuja na umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara japokuwa wengi bado wamekuwa wazito kushiriki kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo gharama kubwa za ushiriki. Ni kweli lazima mfanyabiashara aingie gharama ili kushiriki kikamilifu lakini maonyesho haya yana umuhimu mkubwa kwao pamoja na kwa jamii nzima. Kama mfanyabiashara mwenye malengo ya kuimarisha biashara yako ni muhimu kuwa mshiriki katika maonyesho haya.

Maonyesho haya ni fursa nzuri kwa mfanyabiashara kukutana na wanunuzi wake na kufanya nao mazungumzo. Kupitia maonyesho ya biashara, inakuwa rahisi kukutana na wateja wengi zaidi na hivyo kuweza kuzungumza nao kuhusiana na bidhaa au huduma unayotoa. Unapata nafasi ya kupata maoni yao moja kwa moja na hivyo kujua wanachofurahia na kile ambacho hawafurahii katika biashara yako. Inakuwa rahisi kwa mfanyabiashara kujua ni kipi anatakiwa kubadilisha au kuboresha ili kukidhi mahitaji ya soko lake.

Kupitia maonyesho ya biashara pia, mfanyabiashara anapata uhakika wa moja kwa moja kuwa bidhaa zake zinapata kuonekana. Tofauti na kufanya biashara katika eneo moja ambalo soko ni dogo na wateja ni wa kuhesabika, maonyesho haya yanatoa nafasi kwa wateja kutoka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi kufahamu biashara yako na kujenga mahusiano ya kudumu. Maonyesho haya ni fursa nzuri kwa mfanyabiashara kujitangaza na kuonyesha jamii nzima ni nini anafanya.

ADVERTISEMENT

Kushiriki katika maonyesho ya biashara kunasaidia wafanyabiashara kuelewa soko kwa undani zaidi huku wakiwatambua washindani wao. Kupata nafasi ya kuwa katika mazingira pamoja na watu wanaofanya biashara sawa ile ambayo unafanya kunasaidia kutafakari na kufanya uchambuzi ili kubaini mapungufu yako pamoja na uwezo alionao mshindani wako ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi sokoni pamoja na kuboresha biashara yako kwa ujumla.

Wafanyabiashara nao wanatakiwa kutumia fursa hii kuinua biashara zao na kupanua soko zaidi. Mbali na wengi tulivyozoea, kuna maonyeho mbalimbali ya kibiashra yanayofanyika na sio sabasaba pekee. Hivyo wafanyabiashara pamoja na jamii kwa ujumla wanatakiwa kujenga mazoea ya kufahamu matukio kama haya yanapotokea na kutumia fursa hizo kuinua zaidi biashara zao. Wafanyabiashara wadogo na wajasiriamali wasikate tamaa kutokana na gharama kubwa zinazotumika kushiriki maonyesho haya, kwa kuanza wanaweza kwenda kama wageni na kufanya tathmini, kuangalia mazingira na kujiwekea malengo kisha kurejea maonyesho yanayofuata na kushiriki kikamilifu.

Tags: biasharaMaonyeshosokowajasiriamali
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Wakulima kupatiwa kalenda za msimu

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In