• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, January 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

CTI na wadau wajadili bajeti

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
June 19, 2018
in BIASHARA, UWEKEZAJI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Shirikisho la wenye viwanda Tanzania (CTI), wadau na wafanyabiashara kwa pamoja wameijadili bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 2018/2019 iliyotangazwa bungeni hivi karibuni.

Katika mjadala huo moja ya maadhimio yaliyofikiwa ni pamoja na kuiomba serikali kurekebisha ukusanyaji wa baadhi ya kodi zilizobainishwa katika bajeti hiyo. Kuongezeka kwa ushuru wa forodha katika uingizaji sukari na mafuta ghafi imekuwa ni kilio kwa wadau hao huku wakisisitiza inaweza kushusha uzalishaji wa bidhaa hizo nchini.

Dk Samwel Nyantahe ambaye ni Mwenyekiti wa CTI amesisitiza kuwa, japo lengo la kuongeza ushuru huo ni kudhibiti upotevu wa mapato na kuongeza uzalishaji hasa wa ndani, bado kunaweza kusilete matokeo tarajiwa hivyo kuwaathiri wawekezaji wanaotegemea malighafi hizo.

ADVERTISEMENT

Kikao hicho pia kimeipongeza serikali kwa kujibu zaidi ya asilimia 70 ya mambo yaliyokuwa yakilalamikiwa hivyo wanategemea jambo hilo litawahamasisha wawekezaji.

Bajeti kuu ya serikali ilisomwa wiki iliyopita na Waziri wa Fedha na Mipango Dk. Philip Mpango ambapo licha ya kuzungumzia mambo mbalimbali pia iliongeza ushuru wa forodha wa mafuta ghafi ya kula kutoka asilimia 25 hadi 35 na huku ushuru wa sukari nao ukipandishwa kwa asilimia 15. Pamoja na hayo, Waziri Mpango pia alibainisha kufutwa kwa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye taulo za kike, malighafi za vyakula vya mifugo na vifungashio vya dawa.

Tags: ctisukariUshuruviwanda
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post

Etihad kusitisha safari Dar

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In