• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Hatua zinazochukuliwa kudhibiti mfumuko wa bei

Patricia Richard by Patricia Richard
July 10, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mfumuko wa bei ni neno ambalo sio geni katika masikio ya walio wengi kwani ni hali ambayo imekuwa ikizikumba jamii mbalimbali duniani ikiwa ni matokeo ya kuongezeka kwa bei ya bidhaa au huduma kutokana na kupatikana kwake kwa uhaba au nadra sana. Mfumuko wa bei unaweza kufasiriwa kama kiwango ambacho bei zinaongezeka zaidi kwa muda, na kusababisha kushuka kwa thamani ya ununuzi wa pesa.

Zipo sababu nyingi zinazoweza kusababisha mfumuko wa bei, zikiwemo upandaji wa bei za bidhaa zinazoagizwa toka nje , vita, uhaba wa chakula unaotokana na uzalishaji mdogo nchini. Mfumuko wa bei unakuwepo hasa tu pale ambapo ujazi wa fedha unaongezeka kwa kasi kuliko uzalishaji wa bidhaa na huduma.

ADVERTISEMENT

Tanzania ni moja kati ya nchi zinazokumbwa na mfumuko wa bei mara kwa mara. Hizi ni sababu zinazopelekea hali hiyo.

  1. Upungufu mkubwa wa chakula katika kanda ya Afrika Mashariki ambao mara nyingi unatokana na ukame katika mataifa jirani ikiwa ni pamoja na Somalia, Ethiopia, Sudan, Uganda na kaskazini mwa Kenya. Hali ambayo imekuwa ikipelekea kupanda kwa nafaka hasa mahindi na mchele.
  2. Kupungua kwa uzalishaji wa nafaka hususan katika maeneo yanayozalisha mahindi na mpunga nchini.
  3. Kupanda kwa bidhaa za Petroli katika soko la dunia. Hali hii inapelekea ongezeko la gharama za usafirishaji ikiambatana na kuongezeka kwa gharama za vipuri vya magari,sambamba na usafirishaji wa bidhaa mbalimbali kutoka sehemu moja kwenda nyingine.

Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua hatua kadhaa katika kupambana na mfumuko wa bei na kuhakikisha wananchi wanapata huduma na bidhaa katika hali inayorodhisha. hatua hizo ni pamoja na:

  1. Serikali imekuwa ikitoa mgawanyo mzuri wa vyakula unaoendana na mahitaji ya wananchi kwa kununua mazao ya chakula kutoka kwa Wakala wa Chakula wa Serikali (NFRA) na kuuza akiba kwa bei nafuu ili kuweza kupunguza kasi ya ongezeko la bei ya mazao hasa mahindi.
  2. Kuanzisha sera mbalimbali zinazohamasisha uzalishaji kwa wingi- Serikali ya Tanzania imekuwa mstari wa mbele katika kuhamasisha wananchi kuzalisha bidhaa za mazao kwa wingi ili kuhakikisha nchi inakuwa na chakula cha kutosha katika  nyakati tofauti tofauti. Baadhi ya Sera hizo ni pamoja na ‘Kilimo Kwanza’ sera ambayo imekuwa ikiambatana na utoaji wa Mbolea za Ruzuku pamoja na ‘Shamba Darasa’ kwa wakulima, mambo ambayo kwa kiasi yameweza kufanikisha upatikanaji wa chakula. Pia Serikali imeweza kutoa msamaha wa kodi kwenye vyakula vinavyoagizwa kutoka nje ya nvhi ikiwa ni moja ya jitihada za kupunguza makali ya mfumuko wa bei nchini Tanzania.
  3. Serikali kuiongezea Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) uwezo wa kudhibiti ongezeko holela la bei za mafuta pamoja na kusimamia mwenendo ,upatikanaji, usambazaji na uuzaji wa mafuta nchini Tanzania.
  4. Kuboresha miundombinu ili kurahisisha usambazaji wa zana na mazao ya kilimo pamoja na bidhaa nyingine ili kupunguza gharama za usafirshaji ambazo zinachangia kuwepo kwa mfumuko wa bei nchini Tanzania.
Tags: chakulamfumuko wa beiNafakauzalishaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Usafiri wa anga unavyokuza uchumi

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In