• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Usafiri wa anga unavyokuza uchumi

Patricia Richard by Patricia Richard
July 10, 2018
in MIUNDOMBINU
0
Share on FacebookShare on Twitter

Imeshuhudiwa serikali ya awamu ya tano ikitekeleza moja ya ilani zake za uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwa kuchukua hatua kadhaa katika kuliimarisha Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ambalo hapo awali lilikuwa katika hali mbaya ya uendeshaji. Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano imekuwa ikifanya maboresho kadhaa ya utoaji wa huduma za anga ikiwa ni pamoja na ununuzi wa ndege mpya nne ndani ya muda wa miaka miwili na nusu.

Katika sherehe za kupokea ndege mpya aina Boeing 787-8 Dreamliner zilizofanyika hivi karibuni, Rais Magufuli alidai kuwa serikali ya awamu ya tano imedhamiria katika kuhakikisha inafufua Shirika la Ndege Tanzania kwa kiwango cha Juu huku ikitarajiwa kuanzisha safari za nje ya nchi za ukanda wa Asia na Uingereza.

Rais Magufuli pia  alizungumzia mafanikio ya shirika hilo tangu ununuzi wa ndege mpya na kudai kuwa, idadi ya abiria wanaosafiri kupitia ndege hizo imekuwa ikipanda kila mwezi kwa zaidi ya ilivyotegemewa hapo awali. “Tangu tumeongeza ndege 3 mpya aina ya Bombardier Q400 biashara ya ATCL imeongezeka, Shirika letu lilikuwa linasafirisha abiria 4,000 tu kwa mwezi lakini sasa linasafirisha abiria 21,000 na ndege zinatua katika vituo 12.” alisema Rais Magufuli.

ADVERTISEMENT

Pamoja na hayo, Rais Magufuli aliweza kuweka bayana namna ndege hiyo itakavyosaidia kukuza shughuli za kiuchumi ikiwa ni pamoja kuwavutia watalii sambamba na kuharakisha utekelezaji wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali.

Usafiri wa Anga ni moja kati ya Usafiri wa haraka na wa uhakika, hivyo ununuzi wa ndege mpya unatarajia kuleta mabadiliko makubwa katika kukuza uchumi, hasa kuelekea katika azma kuu ya serikali ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati. Usafiri wa anga unao mchango mkubwa katika kukuza na kuimarisha uchumi kwa sababu zifuatazo:

  1. Usafiri wa anga unasaidia kukuza shughuli za utalii- Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa katikia sherehe za kupokea ndege mpya, takribani asilimia 70 ya watalii wanaoingia nchini wamekuwa wakitumia usafiri wa ndege na hivyo kusaidia kukuza uchumi.
  2. Usafiri wa anga unatoa fursa za ajira. Kupitia maendeleo ya usafiri wa anga serikali imeweza kutoa ajira mbalimbali kwa wazawa na wasio watanzania,katika vitengo mbalimbali kama vile watoa huduma, wahandisi, na marubani.
  3. Usafiri wa Anga unasaidia katika kukuza biashara za ndani na nje ya nchi. Ndege inasaidia kusafirisha watu na mizigo kwa wafanyabiashara kutoka eneo moja kwenda eneo lingine kwa haraka zaidi. Shughuli za kibiashara zinaporahisishwa, zinasaidia mapato na uchumi wa nchi kuongezeka na kuimarika zaidi.
  4. Usafiri wa anga unasaidia kuongeza pato la taifa. Kupitia makusanyo ya mauzo ya tiketi, kodi inayokatwa kwenye tiketi serikali inaongeza kiasi cha makusanyo ya ndani ya nchi. Makusanyo hayo ndio huelekezwa kwenye huduma za kijamii, ujenzi wa miundombinu, kutoa elimu bure, kutoa huduma za kiafya n.k

Hivyo basi ni dhahiri kuwa dhamira ya serikali katika kukuza sekta ya usafiri wa anga ni njema kwani lengo kubwa ni kuongeza mapato ya nchi na kuhakikisha sekta zinazotegemea usafiri huo kwa asilimia kubwa kama utalii, biashara na uchukuzi zinaimarishwa kwa kuwepo uhakika wa usafiri.nkupitia mapato yanayokusanywa, taifa linaweza kufaidika na kusaidia utekelezaji wa miradi mingine ya kimaendeleo.

Tags: ATCLbiasharamaendeleoPato la taifauchumiUsafiri wa angautalii
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Uboreshaji wa miundombinu wavutia wawekezaji

Discussion about this post

Habari Mpya

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In