• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mo Dewji: Bilionea kijana zaidi Afrika

Patricia Richard by Patricia Richard
June 14, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mfanyabiashara maarufu hapa Tanzania Mohammed Dewji ambaye ni mmiliki wa kampuni ya Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL) amesema hivi karibuni kuwa ana mpango wa kuteka ukanda wa Afrika Mashariki kibiashara kwani kuna soko kubwa lenye wastani wa watu milioni 160.

Dewji alizaliwa Mei 08 mwaka 1975 huko Singida na baada ya kumaliza elimu yake ya juu huko Marekani mnamo mwaka 1998 alirejea nchini ili kufanya kazi katika kampuni hii ambayo ilikuwa ikiendeshwa na baba yake hapo awali. Katika jarida la Forbes Africa mwaka 2017 Dewji ametajwa kuwa bilionea kijana zaidi Afrika na tayari ameshawekeza katika nchi 12 barani Afrika.

ADVERTISEMENT

MeTL inajihususha na sekta mbalimbali zikiwemo ya kilimo, viwanda, uuzaji wa nishati za bidhaa za petrol, usafirishaji na usambazaji wa bidhaa pamoja na chakula na vinywaji. Kampuni hii inachangia pato la taifa kwa asilimia 3.5. Biashara zote zinazoendeshwa chini ya kampuni hii zimetoa ajira kwa watu 28,000 kote nchini. Dewji ambaye hivi sasa utariji wake unafikia Dola za Kimarekani 1.52 bilioni analenga kutoa ajira zaidi kufikia mwaka 2025.

Dewji amepanga kuwekeza zaidi katika nchi za Burundi, Uganda na Rwanda kwa upande wa Afrika Mashariki, lakini amesema hatoishia hapo. Nchi nyingine anazotarajia kuwekeza ni Malawi, Msumbiji, Zambia na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Bilionea huyo ameongeza kuwa viwanda vya nguo ni sekta muhimu kwa uwekezaji hasa kwa nchi kama Tanzania, Msumbiji, Zambia na Ethiopia ambapo kuna pamba za uhakika.

Kwa hivi sasa, Dewji anatarajia kuongeza vituo vya usambazaji wa bidhaa za kampuni yake ambayo kwa sasa ina vituo zaidi ya 100 na magari 2000. Ameongeza kuwa METL inaongoza kwa usambazaji hapa nchini. Ameshauri Rais wa Tanzania kuboresha miundombinu ya usafirishaji ikiwemo huduma za bandari ili nchi yetu iendelee kupiga hatua zaidi kimaendeleo.

Mbali na kuwa mfanyabiashara maarufu hapa nchini, Dewji pia amesaidia sekta mbalimbali katika jamii kwa kutoa misaada. Amesaidia miradi ya afya, elimu, michezo, maji pamoja kilimo.

Tags: ajiraForbesMeTLMohammed Dewjiuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Bajeti kuu ya serikali kujulikana leo

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In