• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wauza chakula barabarani wanakosea?

Patricia Richard by Patricia Richard
June 13, 2018
in BIASHARA NDOGO NDOGO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Katika harakati za kujitafutia riziki, kila mmoja wetu anatumia ujuzi na ubunifu alionao katika namna ambayo itamuingizia kipato. Katika kufanya hivyo, wengine wanalazimika kufanya kazi katika mazingira hatarishi ambayo kimsingi humfanya mtaka huduma ajifikirie mara mbili. Sio kwamba wafanyabiashara hawa wanapenda kufanya kazi katika mazingira haya, lakini hali ngumu ya maisha inawalazimu wao kujitafutia kipato kwa namna hii.

Mfano hai wa hili ni watoa huduma ya chakula au kwa jina ambalo limezoeleka mama lishe wanaofanya kazi pembezoni mwa barabara hususani katika vituo vya mabasi. Japokuwa idadi ya wanaohitaji huduma hiyo katika maeneo kama haya ni kubwa, mazingira wanayofanyia kazi watu hawa ni haratishi. Lakini wameruhusiwa na nani? Wanazingatia usafi na afya ya wateja wao kwa ujumla? Mamlaka husika zinachukua hatua gani?

Mama lishe wengi wanafanya kazi katika maeneo ambayo kimsingi hawatakiwa kuendesha shughuli hizo. Jiulize kama wanatoa huduma ya chakula pembezoni mwa barabara, wanapata wapi maji? Je ni masafi? Wanaosha wapi vyombo vyao? Vipi kuhusu vumbi, jua kali na mvua? Bila shaka hizi ni changamoto ambazo wanazifahamu lakini bado wanaendelea kufanya shughuli zao kwa sababu wanahitaji kujiingizia kipato.

Ukiachana na mama lishe, makundi mengine ya wafanyabiashara pia wanakumbwa na changamoto hii. Pembezoni mwa barabara imekuwa sehemu yao ya kufanyia kazi bila kuangalia hatari ambazo wanaweza kukumbana nazo. Wengi wamekuwa na mitaji midogo hivyo wanashindwa kumudu gharama za pango na kuishia kufanya biashara zao katika maeneo ambayo sio rasmi ili tu waweze kujiingizia chochote.

ADVERTISEMENT

Changamoto kwenye upatikanaji wa mikopo kwa walio na biashara ndogondogo kwa kiasi kikubwa inasukuma kuendelea kwa hali hii katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Wafanyabiashara hawa watajiboresha vipi kama taasisi husika hazitawapitia mikopo? Wataendeleza vipi biashara zao na kutoa huduma bora zaidi ikiwa hawapati msaada wowote?

Ni muhimu kama wafanyabiashara wa aina hii wakaungana kwa pamoja na kushauriana ni vipi wanaweza kukuza na kuboresha biashara zao. Waanzishe vikundi vyao wa vicoba ambavyo vitawasaidia kukopa na pia wasichoke kufanya michakato ya uombaji mikopo katika taasisi za kifedha. Ni wazi kuwa hakuna anayependa kufanya kazi katika mazingira magumu, hivyo watu hawa wakisaidiwa, wataweza kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma wanazotoa.

Japokuwa kila mmoja wetu anafanya jitihada za kupambana na umaskini, kwa biashara muhimu kama chakula, lazima mhusika ahakikishe kuwa mtaji alionao unajitosheleza na pia anazingatia mazingira ya usafi katika kazi yake ili kuepusha athari zozote zinazoweza kutokea. Aina hii ya biashara pia haina budi kufanywa katika mazingira yenye usalama ili kuwavutia wateja wengi zaidi.

 

 

Tags: biasharamikopoVICOBA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Mo Dewji: Bilionea kijana zaidi Afrika

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In