• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Tumia EFD, jenga taifa

Patricia Richard by Patricia Richard
June 4, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali kupitia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekuwa ikiendelea kuwasisitiza wafanyabiashara kote nchini kutumia mashine za kodi za kielektroniki. Wafanyabiashara wengine wamekuwa waelewa na kununua mashine hizo kama ilivyoagizwa na serikali huku wengine wakisema wanashindwa kufanya hivyo kutokana na gharama kubwa ya kununua mashine za EFD. Mashine hizi zina umuhimu mkubwa kwa wafanyabiashara, wananchi na hata serikali. Makala hii inalenga kumuelimisha mfanyabiashara kuhusu matumizi ya mashine hizi pamoja na umuhimu wake.

Kwa kutumia mashine za EFD, unapata uhakika zaidi kuwa kodi inayotakiwa kwenda moja kwa moja serikalini. Tofauti na kipindi cha nyuma, mashine hizi zinaondoa wasiwasi wowote kuhusiana na masuala ya kodi kwani kila kitu hufanyika kielektroniki hivyo mazingira hayaruhusu udanganyifu wa aina yoyote ile. Sio rahisi kwa kodi kupotea kwa namna yoyote ile endapo mashine hizi zikitumika.

Wafanyabiashara wakiendelea kutumia mashine za kielektroniki, serikali nayo itakusanya mapato kwa urahisi zaidi na kuwezesha miradi mbalimbali ya kimaendeleo kufanyika. Ili nchi iwe na maendeleo ni lazima serikali ikusanye mapato ya kutosha ambayo yatasaidia shughuli mbalimbali za kimaendeleo kufanyika. Hivyo wafanyabiashara wakifuata mfumo huu, serikali itakusanya zaidi na maendeleo nayo yataonekana zaidi katika nchi yetu.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, mashine za EFD zina uwezo wa kuweka kumbukumbu za kodi ambapo unahifadhi taarifa zako zote muhimu kwa takribani miaka mitano. Hii ni njia rahisi ya wafanyabiashara kuweka rekodi bila ya kuhofia upotevu wa aina yoyote kwani wafanyabiashara wengi wamekuwa wakitumia njia ambazo sio salama hivyo wakati mwingine kumbukumbu zao muhimu hupotea. Lakini kwa njia hii ya kielektroniki, unakuwa na uhakika wa usalama wa kumbukumbu zako zote kwa muda mrefu. Hiyo pia inasaidia kuona mwenendo wako wa biashara kwa ujumla.

Baada ya kueleza yote hayo, ni muhimu kwa wafanyabiashara na watanzania kufahamu kuwa ni jukumu letu sote kulipa kodi ili kuleta maendeleo katika taifa letu. Hakutakuwa na maendeleo kama wananchi hawatatimiza wajibu wao wa kulipa kodi. Hivyo basi ni muhimu kama wananchi wakashirikiana na serikali ili kuhakikisha kuwa tunapiga vita janga kubwa la umaskini. Wafanyabiashara wanatakiwa kuunga mkono agizo hilo la serikali na kuanza kutumia mashine hizi za EFD kama inavyotakiwa.

 

 

Tags: biasharaEFDkodimaendeleoTRA
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Uwanja wa ndege Zanzibar kutoa ajira 400

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In