• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, November 28, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Kuokota chupa kunawakalisha watu mjini

Patricia Richard by Patricia Richard
May 29, 2018
in BIASHARA NDOGO NDOGO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la watu ambao wamekuwa wakifanya biashara ya kuokota na kuuza chupa wanazookota mitaani. Wengi wanadai kuwa japokuwa kazi hiyo ni ngumu, inalipa na wanaweza kumudu maisha yao na yale ya familia zao kwa ujumla kupitia chupa hizi ambazo pengine wengine huona kama ni uchafu ambao hauna tena faida kwao.

Kawaida ya biashara hii ni kwamba waokotaji wa kawaida hukusanya chupa hizo na kuwauzia wanunuzi kwa kilo. Mara nyingi wanunuzi hawa hununua kwa jumla kwani wao wanauza viwandani ambapo chupa hizo hupokelewa kama malighafi na kuyeyushwa. Biashara hii hufaanyika sana katika miji kama Dar es salaam na baadhi ya nchi kama vile China na Kenya.

ADVERTISEMENT

Wanaofanya biashara hii ya kuokota chupa mitaani wamesaidia kwa kiasi kikubwa katika suala la usafi kwani wapo makini kuhakikisha kuwa hakuna chupa inayozagaa ovyo mitaani. Licha ya hayo, ajira hii japokuwa sio rasmi imesaidia kupungua kwa vitendo vya uhalifu kwani vijana wamekuwa wakitumia muda wao kukusanya chupa baada ya kufanya vitendo hivyo.

Wengine wamekuwa wabunifu zaidi na kuunda vikundi vyao vya uajsiriamali ili kugawana majukumu pamoja na faida itakayopatikana. Wengine wamekuwa wakitafuta chupa kwenye madampo, wengine wamekuwa katika vituo vikubwa vya madaladala, wengine wanatembea mitaani ili mradi tu kuhakikisha wanatimiza wajibu walionao na katika kufanya hivyo wanaingiza kipato ambacho kinawawezesha kufanya shughuli nyingine za kimaendeleo.

Japokuwa watu wengi wameendelea kufanya kazi hii kama njia mojawapo ya kuwaingizia kipato, kuna athari ambazo hazipaswi kufumbiwa macho. Ajira hii ni hatari kwani inaweza kusababisha magonjwa mbalimbali. Watu wengi hawana vitendea kazi na hulazimika kutumia mikono yao bila kuwa na kinga ya aina yoyote. Hii ni hatari kwani wanaweza kupata maambukizi na wao pasipo kujua wakaambukiza watu wengine.

Serikali pamoja na wadau wengine wa maendeleo wanapaswa kuwapa nguvu watu wanaofanya ajira hii ngumu kwa kuitambua kama kazi nyingine rasmi na kuwawekea mazingira mazuri zaidi ya kufanya shughuli zao kwani wanabadili maisha yao na kujikwamua na hali ngumu ya maisha. Kupitia ajira hii wengine wameweza kusomesha watoto, kujenga na kujiendeleza hivyo wakiwekea mazingira bora zaidi ya kufanya kazi, mchango wao katika jamii utakuwa mkubwa zaidi ya ulivyo hivi sasa.

Tags: ajirabiasharaChupamalighafi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Tumia EFD, jenga taifa

Discussion about this post

Habari Mpya

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

November 25, 2023

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

November 24, 2023
Wanafunzi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Arusha (NCT).

Maandiko ya kisasa yatavutia utalii: Naibu Waziri Kitandula

November 23, 2023
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk.

Biashara baina ya Tanzania, UAE Dola bilioni 3.2

November 23, 2023

Kamati ya Bunge Nishati na Madini yajinoa matumizi gesi asilia

November 22, 2023

Uvunaji wa samaki wapaa kwa asilimia 114.3 mbinga

November 22, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Tanzania yaikaribisha kampuni za China kuwekeza Sekta ya Nishati

by Pesatu Reporter
November 25, 2023
0

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania,...

Afrika tujitegemee kifedha mabadiliko tabia ya nchi: Rais Samia

by Pesatu Reporter
November 24, 2023
0

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema ni muda muafaka kwa Afrika kujitegemea katika fedha za kukabiliana na mabadiliko ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In