• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kununua korosho yenyewe

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
November 12, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania chini ya Rais Dk John Pombe Magufuli imeamua kununua korosho yenyewe moja kwa moja kutoka kwa wakulima badala ya kutegemea wanunuzi kutoka ndani na nje ya nchi.

 

ADVERTISEMENT

Hayo yamesemwa leo ikulu jijini Dar es salaam na Rais Magufuli katika hafla ya kuwaapisha mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kuchukua nafasi zilizoachwa wazi kufuatia rais kuamua kufanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri kwa kuwaondoa waziri wa kilimo Charles Tizeba na waziri wa viwanda na biashara Charles mwijage na nafasi zao kuchukuliwa na Japhet Hasunga aliyekuwa naibu waziri wa maliasili na utaliii na Joseph Kakunda ambaye anachukua nafasi ya mwijage katika wizara ya viwanda,biashara na uwekezaji.

 

Akizungumza katika hafla hiyo,baada ya kupewa taarifa ya idadi ya wafanyabiashara wa ndani na nje walliojiandikisha kufuatia agizo la waziri mkuu Kassim Majaliwa kuhusu wanunuzi wa korosho,Rais alisema haina haja yakuendelea nao na serikali itanunua korosho hizo kwa bei ya shilingi 3300 kwa kilo.

 

“Nafunga mjadala serikali itanunua korosho zote yenyewe na itanunua kwa bei ya shilingi 3300 kwa kilo na magodauni yote yatalindwa na jeshi”.alisema mheshimiwa Rais magufuli.

 

Ikumbukwe hivi karibuni kulikua na mgogoro kati ya wakulima na wafanyabiashara juu ya bei ya kilo ya korosho hadi kufikia serikali kuingilia kati kwa kukutana na wafanyabishara kujadili na kufikia makubaliano ya bei ya kilo moja isiwe chini ya shilingi 3000 japo suala hilo lilikua gumu katika utekelezaji wake.

Tags: biasharakilimokoroshouchumiuwekezaji
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Stephano Matesi akipokea hati ya kiwanja kutoka kwa mkuu wa idara ya biashara wa benki ya amana Munir Rajab leo jijini Dar es salaam

Benki ya Amana yatimiza ndoto ya wateja

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In