• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kununua korosho yenyewe

Dennis Msotwa by Dennis Msotwa
November 12, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania chini ya Rais Dk John Pombe Magufuli imeamua kununua korosho yenyewe moja kwa moja kutoka kwa wakulima badala ya kutegemea wanunuzi kutoka ndani na nje ya nchi.

 

Hayo yamesemwa leo ikulu jijini Dar es salaam na Rais Magufuli katika hafla ya kuwaapisha mawaziri na manaibu waziri walioteuliwa kuchukua nafasi zilizoachwa wazi kufuatia rais kuamua kufanya mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri kwa kuwaondoa waziri wa kilimo Charles Tizeba na waziri wa viwanda na biashara Charles mwijage na nafasi zao kuchukuliwa na Japhet Hasunga aliyekuwa naibu waziri wa maliasili na utaliii na Joseph Kakunda ambaye anachukua nafasi ya mwijage katika wizara ya viwanda,biashara na uwekezaji.

 

Akizungumza katika hafla hiyo,baada ya kupewa taarifa ya idadi ya wafanyabiashara wa ndani na nje walliojiandikisha kufuatia agizo la waziri mkuu Kassim Majaliwa kuhusu wanunuzi wa korosho,Rais alisema haina haja yakuendelea nao na serikali itanunua korosho hizo kwa bei ya shilingi 3300 kwa kilo.

ADVERTISEMENT

 

“Nafunga mjadala serikali itanunua korosho zote yenyewe na itanunua kwa bei ya shilingi 3300 kwa kilo na magodauni yote yatalindwa na jeshi”.alisema mheshimiwa Rais magufuli.

 

Ikumbukwe hivi karibuni kulikua na mgogoro kati ya wakulima na wafanyabiashara juu ya bei ya kilo ya korosho hadi kufikia serikali kuingilia kati kwa kukutana na wafanyabishara kujadili na kufikia makubaliano ya bei ya kilo moja isiwe chini ya shilingi 3000 japo suala hilo lilikua gumu katika utekelezaji wake.

Tags: biasharakilimokoroshouchumiuwekezaji
Dennis Msotwa

Dennis Msotwa

Next Post
Stephano Matesi akipokea hati ya kiwanja kutoka kwa mkuu wa idara ya biashara wa benki ya amana Munir Rajab leo jijini Dar es salaam

Benki ya Amana yatimiza ndoto ya wateja

Discussion about this post

Habari Mpya

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

February 8, 2023

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Bata wawili hadi kumiliki bata 1,000

by Pesatu Reporter
February 8, 2023
0

Sio lazima uingie darasani na upate elimu katika mfumo rasmi ndipo uweze kufanikiwa katika maisha. Ndivyo wanavyoweza kusema kikundi cha...

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In