• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Uhusiano wa Tanzania na Kenya muhimu-Dk. Shein

Patricia Richard by Patricia Richard
September 20, 2018
in BIASHARA, HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI
0
Rais wa Zanzibar,Dk. Ali Mohamed Shein.

Rais wa Zanzibar,Dk. Ali Mohamed Shein.

Share on FacebookShare on Twitter

Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein amesema ushirikiano wa kibiashara baina ya mataifa ya Tanzania na Kenya ni muhimu katika harakati za kukuza uchumi na kuendeleza mahusiano yaliyopo. Katika mazungumzo yake na Balozi mpya wa Kenya nchini Tanzania, Dan Kazungu, Dk. Shein amesema kuna kila sababu ya kuendelea kushirikiana ili kuimarisha sekta za maendeleo hususan biashara.

“Uhusiano huu unaanzia mbali katika historia ambapo Zanzibar ilikuwa kitovu kikuu cha biashara katika ukanda wa Afrika Mashariki tokea karne ya kumi na tisa”. Ameeleza Dk. Shein.

ADVERTISEMENT

Mbali na hayo, Dk. Shein amelipokea kwa mikono miwili wazo la Balozi Kazungu la kutaka kuwe na utaratibu maalum wa kushirikiana ili kukuza uchumi na kuinua ustawi wa maisha ya wananchi kutoka pande zote mbili. Rais huyo pia ametumia nafasi hiyo kuipongeza Kenya kwa manunuzi ya karafuu kutoka visiwani Zanzibar, hatua ambayo amedai imesaidia kwa kiasi kikubwa kutokomeza biashara ya magendo iliyokuwepo siku za nyuma.

Kuhusu sekta ya utalii, Dk. Shein amesema kuna haja kubwa ya kuimarisha ushirikiano wa Kenya na Zanzibar ili kuipeleka mbali sekta hiyo ikiwa Kenya imepiga hatua katika masuala ya utalii ikilinganishwa na Zanzibar.

Kwa upande wake, Balozi Kzungu ametoa pongezi kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta kufuatia azma yake ya kukuza mahusiani ya kihistoria na kindugu kati ya taifa lake na visiwa vya Zanzibar.

Tags: biasharaKenyauchumiUhuru Kenyattautaliizanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
mwanzilishi na makamu mwenyekiti wa umoja wa watoa huduma za mafuta na gesi Tanzania (ATOGS) Abdulrahim Abdulsamad akiongea na waandishi wa habari kuhusu mada mbalimbali zitakazo jadiliwa katika mkutano wa kimataifa wa mafuta na gesi utakaofanyika Dar es salaam kuanzia tarehe 24-25 september mwaka huu.

Mradi wa bomba la mafuta kujadiliwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 27, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 27, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In