• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, June 25, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mfumo wa huduma za kifedha bado tatizo

Patricia Richard by Patricia Richard
September 20, 2018
in FEDHA
0
Kanuni ya Pareto inavyokuza biashara
Share on FacebookShare on Twitter

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Taasisi ya kuendeleza huduma za kifedha Tanzania (FSDT) Irene Mlola amesema takribani asilimia 28 ya watanzania wenye umri kuanzia miaka 16 na kuendelea wapo nje ya mfumo wa huduma za kifedha. Mlola amesema hayo katika kikao cha utekelezaji wa sera ya taifa ya huduma ndogo za fedha ya mwaka 2017 wakati akiwasilisha mada ya mchango wa ubunifu katika kufikisha huduma ndogo za fedha. Katika maelezo yake, Mkurugenzi huyo amedai kuwa idadi ya watanzania waliokuwa nje ya mfumo wa kifedha ilikuwa asilimia 55 mwaka 2009, asilimia 27 mwaka 2013 na asilimia 28 mwaka 2017.

Sera hiyo inatazamwa kuleta Sheria na kanuni ambazo zitawafikia watu wengi zaidi huku ikiweka mbele masuala ya matumizi ya teknolojia na mifumo jumuishi ili kupata huduma zenye ubora.

“Kwa waliopo kwenye mfumo wa kifedha kwa mwaka 2009 ni asilimia 9, mwaka 2013 ni asilimia 14 na mwaka 2017 ni asilimia 16.7”. Ameeleza Mlola.

ADVERTISEMENT

Vilevile, Mkurugenzi huyo ameeleza kuwa ubunifu katika teknolojia ya mitandao na mifumo ya jamii umefanikiwa kufikiwa kwa walaji wengi kwa kiasi kikubwa huku akisisitiza kuwa ubunifu unatakiwa ili kuwavuta watanzania asilimia 28 waliopo nje ya mfumo kwa sasa.

Mlola pia amechukua fursa hiyo kuzungumzia idadi kubwa ya watanzania hutafuta huduma za kifedha kwenye sekta ndogo kama vile Saccos, Vicoba na vikundi licha ya kwamba sekta hizo zimekuwa na changamoto ya usimamazi kwa muda mrefu. Mkurugenzi huyo amesisitiza kuwa changamoto hizo zitatatuliwa kupitia sera hiyo.

Tags: fedhaFSDTIrene MlolaTeknolojia
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Rais wa Zanzibar,Dk. Ali Mohamed Shein.

Uhusiano wa Tanzania na Kenya muhimu-Dk. Shein

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In