• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, October 3, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Umefikiria haya kabla ya kuwekeza katika biashara?

Patricia Richard by Patricia Richard
July 14, 2018
in BIASHARA
0
Share on FacebookShare on Twitter

Uwekezaji katika biashara ni moja kati ya nguzo kubwa zinazowapatia watanzania wengi kipato. Wengi wamekuwa na shauku ya kufanya biashara wakiamini ndio njia pekee itakayowapa mafanikio kwa urahisi. Sio uongo, japokuwa walio wengi hawafanikiwi kutokana na kutokuwa na mipango thabiti au mikakati ya kutosha katika uwekezaji huo. Kuna vitu ambavyo endapo utaamua kufanya biashara ni lazima vizingatiwe.

Vitu hivyo ni pamoja na:

ADVERTISEMENT
  1. Punguza kuchanganya biashara na undugu/urafiki- Biashara inahitaji nidhamu kama zilivyo shughuli nyingine. Biashara ina sheria zake katika uendeshaji. Achana na yale mazoea ya kukopesha maana yatakurudisha nyuma kimaendeleo na biashara yako haitokua.
  2. Acha kuchanganya matumizi binafsi na yale ya biashara- Wengi hawaendelei na wanajikuta wamepata hasara mara baada ya kugundua pesa ya biashara ameipeleka kwenye matumizi yake ya kawaida kiasi cha kupelekea kushuka kwa mtaji.
  3. Punguza starehe- Starehe inahitaji pesa na inatumia pesa nyingi. Kama umeamua kuwa mjasiriamali/biashara jaribu kupunguza starehe na kuwa na nidhamu na fedha.

Mambo ambayo ukiyazingatia yatasaidia kukuza biashara yako ni haya yafuatayo:

  1. Soko. Soko kwa maana ya wanunuzi au wapokeaji wa huduma yako. Hakikisha kuwa upo sehemu sahihi na ina uhitaji wa bidhaa yako.  Pia Soko inaweza kutafsiriwa kwa maana ya utoaji wa huduma au uuzaji wa bidhaa kulingana na msimu. Mfano kama ni kipindi cha kombe la dunia ni dhahiri kuwa kutakuwa na manunuzi mengi ya jezi za mpira.
  2. Zingatia lugha. Ni vizuri kuonyesha ukarimu ili kumshawishi mteja arudi tena kufuata huduma siku nyingine.
  3. Jitofautishe na wengine- Unaweza  kuwa unatoa huduma inayofanana na watu wengine lakini watu wanapenda sana kuja kununua bidhaa au huduma kwako. Unaweza kujitofautisha na wengine kwa kutoa ofa, hali itakayo wafanya wateja wako kufurahia huduma yako na kujiona wao pia ni sehemu ya biashara yako
  4. Kujali muda- Kujali muda ni jambo muhimu sana kwa mfanyabiashara yoyote. Ni muhimu kuzingatia muda wa utoaji huduma katika biashara yako kwani itasaidia wapokeaji huduma kujua na kutambua uthubutu wako katika biashara.

 

Tags: biasharasokouwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Matajiri wanatumiaje pesa zao?

MCB kutoa mikopo elimu ya juu

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

September 26, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Exim kulinda maslahi watumiaji huduma za bima

by Pesatu Reporter
September 26, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In