• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

MCB kutoa mikopo elimu ya juu

Patricia Richard by Patricia Richard
July 14, 2018
in MIKOPO
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Benki ya Walimu (MCB) ikishirikiana na Shirika la Global Education Link (GEL), wameanzisha utoaji mikopo elimu ya juu kwa wanafunzi wanaosoma vyuo vya nje ya nchi. Akizungumza katika utoaji wa mikopo hiyo, Mkurugenzi wa GEL,Abdulmalik Mollel alisema mikopo hiyo inatolewa bila riba ili kuwasaidia vijana hao kujiendeleza bila shida yoyote ile.

“ Watu wanajiuliza inawezekanaje kukopa bila riba? Kwa ulimwengu wa sasa inawezekana. Kwa sababu cyuo vitalipa gharama ya mkopo huo ikiwamo riba” Alisema Mollel na kuongeza “Mzazi atalipa asilimia 50 ya ada, benki italipa asilimia 50 ya ada, benki italipa asilimia 50 na vyuo vitalipa gharama za mkopo”

Alivitaka vyuo vya ndani kuchangamkia fursa hiyo ili kuisaidia serikali katika utoaji elimu ya juu.

“Vyuo vikuu vya ndani vijue mzazi akileta mtoto wake kwenye vyuo vyao ni fursa. Watumie wadau hawa kuwawezesha wanafunzi kupata elimu” Alisema Mollel.

ADVERTISEMENT

Naye Ofisa Mtendaji wa MCB, Ronald Manongi alidai kuwa kama benki wana jukumu la kuhakikisha elimu elimu inaimarika nchini ndiyo maana wamejitosa kwenye utoaji elimu ya Juu.

“Kwa sasa tumeanza na wanafunzi wanaosoma nje, lakini tutakuwa tayari kutoa pia mikopo ya ndani tukishaweka makubaliano” Alisema.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, Ofisa Elimu mkoa wa Dar es salaam, Khamis Lissu alisema hatua hiyo ni mafanikio ya utekelezaji wa sera ya Tanzania ya viwanda.

Tags: elimufedhaGELMCBmikopoRiba
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

TRA kushirikiana na wafanyabiashara kutatua kero zao

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In