• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Umuhimu wa biashara kuwekeza kwenye amani

Ukuzaji amani katika enzi za dijitali

Abdul Kassim by Abdul Kassim
October 8, 2020
in BIASHARA, BIASHARA, FEDHA, HABARI ZA AFRIKA MASHARIKI, UJASIRIAMALI, UWEKEZAJI
0
Raisi wa Uganda Yoweri Museveni (Mwenye kofia) kwenye picha ya pamoja kwenye mkutano wa GPLC 2018 uliofanyika jijini Kampala. Wengine ni marehemu Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dr. Augustine Philip Mahiga (kulia) aliemwakilisha raisi wa Tanzania John Magufuli. Na kushoto ni raisi mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid karume.

Raisi wa Uganda Yoweri Museveni (Mwenye kofia) kwenye picha ya pamoja kwenye mkutano wa GPLC 2018 uliofanyika jijini Kampala. Wengine ni marehemu Waziri wa Katiba na Sheria Balozi Dr. Augustine Philip Mahiga (kulia) aliemwakilisha raisi wa Tanzania John Magufuli. Na kushoto ni raisi mstaafu wa Zanzibar Amani Abeid karume.

Share on FacebookShare on Twitter
  • Ukuzaji amani katika enzi za dijitali

Amani inapovunjika, ni jamii ya kawaida na biashara zinazo umia sana. Uchumi huporomoka pasipo na amani.

Hivio, kuna haja ya biashara kuchukua hatua madhubuti kukuza na kuwezesha amani hasa sasa, katika kipindi hiki ambacho mitandao ya kijamii inatumika kueneza uchochezi. Mitandao ya kijami inaweza kutumika kuzuia mizozo na uenezi wa msimamo mkali na badala yake kukuza uelewa na uvumilivu.

“Lazima tuchukue hatua kuhakikisha tunapanda mbegu za amani na uvumilivu kwa kila mmoja, na mitandao ya kijamii ni jukwaa zuri la kufikia vijana ,” alisema Martha Nghambi, Mkurugenzi wa Global Peace Foundation Tanzania.

Akiongea na wanahabari mwanzo wa wiki, alitangaza kwamba GPLC itafanya mkutano wa  mtandaoni Julai (30-31) kujadili mbinu mbali mbali za kukuza amani.

“Mkutano huo ulipangwa kufanyiwa Nairobi lakini kwa vile nchi nyingi bado zinaendelea kuchukua taadhari zidi ya Covid-19, badala yake mkutano utafanyiwa mtandaoni,” alisema.

Mkutano huu unafuatia mkutano wa mwisho uliofanywa nchini Uganda na kusimamiwa na mgeni rasmi raisi Yoweri Kaguta Museveni.

Mkutano huo ulikusanya zaidi ya wajumbe 1000 wakiwemo viongozi mbali mbali. Hotuba ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ilisomwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri Mhe. Eugene Wamalwa na ya rais wa Tanzania John Magufuli ilisomwa na aliekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mheshiwa Augustine Mahiga.

Akiendelea kuzungumza na waandishi, Nghambi  alisisitiza umuhimu wa ushiriki wa vijana kama wanufaika wa moja kwa moja.

“Kuwashirikisha vijana kunawafanya kuwa watetezi na pia inawapa nguvu kuchukua hatua badala ya kutumiwa kuwa wachochezi,” alisema.

Zaidi, “… tunao mradi unaoendelea unaoitwa ‘Wanawake Sasa’ ambao unalenga kuwezesha wanawake vijana katika uongozi bora, kuzuia migogoro, kukuza amani kabla ya na baada ya chaguzi kuu.”

Kwa sasa, GPLC pia inaendesha kampeni ya Vijana na Amani inayo wahamasisha vijana kuwana maadili, ujuzi, stadi za kazi na mbinu za kuzuia uvunjaji wa amani.

Lengo kuu la kampeni hii ni kuwapa vijana nguvu kuwa chachu ya maendeleo na kuwapa utambuzi chanya iliwawe chanzo cha jamii zenye amani.

GPLC ni jukwa linalo kusanya viongozi kutoka serikalini, wafanya biashara, wasomi, mashirika ya sio ya kiserekali  na taasisi za kidini kubadilishana mitazamo juu ya uongozi bora katika jamii. Mkutano huu ni wa 10 tangu ‘Mkutano wa Amani wa Dunia wa 2010’ uliofanyika jijini Nairobi chini ya rais mtsaafu Mwai Kibaki.

GPLC ya mwaka huu itabainisha uzoefu wa Kenya kulinda ustawi wa amani kwenye Pembe ya Afrika ikiwemo juhudi zake kusimamia utulivu wa amani Somali, Sudani, na Sudani Kusini. Mkutano huu pia, utatambua juhudi za Rais Uhuru Kenyatta kukuza ushirikiano wa kimataifa na maridhiano baina ya Kenya na nchi zingine za Pembe ya Afrika.

Maridhiano haya yalianzishwa na aliekuwa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga ambao umekuwa mfano wa kutafuta suluhisho za matitizo ya kisiasa.

ADVERTISEMENT

Kati ya mada kuu za mkutano huu ni kubadilisha uboreshaji wa maadili ya uongozi na ubunifu, kujenga umoja wa kijamii, tabia, mikakati ya ubunifu wa utekelezaji wa elimu na kujenga ujasiri wa vijana kusimamia amani katika enzi za dijitali.

Ulimwengu unabadilika haraka na kwa njia zisizotabirika. Waelimishaji na wasimamizi wanahitaji kufikiria tena njia ambazo wanaweza kuandaa kizazi kijacho kwa siku zijazo.

Abdul Kassim

Abdul Kassim

Next Post
Smiling young African female entrepreneur hard at work on a laptop while sitting at a table in the lobby of a modern office building

Mambo 5 mjasiriamali anapaswa kujua

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In