• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mgodi wa Buzwagi washinda tuzo Afrika

Patricia Richard by Patricia Richard
June 21, 2018
in UWEKEZAJI
0
Meneja Mkuu wa mgodi wa Buzwagi na Bulyanhulu, Benedict Busunzu (wa pili kushoto) akionesha tuzo waliyoshinda katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Institute of People Management Africa, Dk Jerry Gule (kushoto), Meneja Mkuu wa Kazi, Stewart Hamilton (wa pili kulia) na Janet Reuben-Lekashingo, Meneja Mkuu wa Ufanisi wa Shirika.

Meneja Mkuu wa mgodi wa Buzwagi na Bulyanhulu, Benedict Busunzu (wa pili kushoto) akionesha tuzo waliyoshinda katika picha ya pamoja na Mkurugenzi mtendaji wa Institute of People Management Africa, Dk Jerry Gule (kushoto), Meneja Mkuu wa Kazi, Stewart Hamilton (wa pili kulia) na Janet Reuben-Lekashingo, Meneja Mkuu wa Ufanisi wa Shirika.

Share on FacebookShare on Twitter

Mgodi wa dhahabu wa Buzwagi umeshinda tuzo ya Afrika kwa ushirikiano wao na wafanyakazi wake kuelekea kufungwa kwa mgodi huo miaka miwili ijayo. Mgodi huo ambao unamilikiwa na Acacia Group ulipokea heshima ya juu katika kundi la Mshahara, Utambuzi na Ustawi wa wafanyakazi katika tuzo za Ushiriki wa Waajiriwa wa Afrika zilizofanyika Afrika Kusini tarehe 14 Juni 2018.

Mwaka jana kampuni hiyo ilitangaza kufunga mgodi wa Buzwagi mwaka 2020 na kuzindua programu yake ya “Hakuna Madhara 2020” kwa lengo la kudhibiti athari za kufunga mgodi huo kwa wafanyakazi wake na jamii inayowazunguka. Programu hiyo inalenga kuhakikisha kuwa hatua za mwisho za kufunga mgodi huo zinafanyika kwa namna ambayo wafanyakazi na wanajamii wanaandaliwa kutafuta fursa nyingine mara baada ya taratibu zote za usindikaji madini kukamilika.

Mkurugenzi Mtendaji wa migodi ya Buzwagi na Bulyanhulu Benedict Busunzu pamoja na timu yake walihudhuria sherehe za tuzo hizo jijini Johannesburg ambapo aliwapongeza wafanyakazi wa Buzwagi kwa jitihada zao.

“Nimefurahi kuona kazi nzuri inayofanywa na wafanyakazi wa Buzwagi kwa watanzania imetambulika kimataifa,” alisema Busunzu. “Hii inadhihirisha kujitoa kwetu katika kuhakikisha Hakuna Madhara itawagusa watu wetu, biashara yetu na jamii kwa ujumla kuelekea kufungwa kwa Buzwagi 2020.”

ADVERTISEMENT

Kama sehemu ya “Hakuna Madhara 2020” wanachama wa Buzwagi wamepatiwa taarifa,vifaa na muongozo wa kutafuta kazi au kuanzisha biashara zao mwenyewe mara baada ya mgodi kusitisha huduma. Mafunzo yaliyopewa jina la “Maisha baada ya Buzwagi” pia yamewaleta pamoja wadau mbalimbali katika jamii kama vile maafisa kutoka serikali za mitaa na viongozi wa kimila kama jitihada za kukuza msaada kwa shughuli za mgodi na kuwasaidia kuelewa mabadiliko yatakayowakabili wananchi.

Majaji katika sherehe za  tuzo za Ushiriki wa Waajiriwa wa Afrika walifurahishwa na programu ya “Hakuna Madhara 2020” na jinsi ilivyoenda mbali kuliko kampuni nyingine za madini katika kuhakikisha wanawajali wafanyakazi wake kipindi ambapo mgodi huo unasitisha shughuli zake. Wamesema programu ya  “Maisha baada ya Buzwagi” ni mfano wa kuigwa wa ushiriki wa mfanyakazi katika kipindi kilichokuwa kigumu kwa wale waliokuwa na mahusiano ya dhati na mgodi huo.

“Tunatambua mchango wenu kwa wafanyakazi pamoja na kazi muhimu mnayofanya,” wamesema timu ya tuzo za Ushiriki wa Waajiriwa wa Afrika. “Ilikuwa ni heshima kubwa kwetu sisi kusaidia kutambua watu na  programu zinazostahili kama hii ya kwenu.”

 

Tags: AcaciabiasharadhahabumadiniTuzo
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Juisi ya Miwa: Biashara yenye faida maradufu

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In