• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Nini hasa huwavutia wawekezaji kuja Tanzania?

Patricia Richard by Patricia Richard
September 28, 2018
in UWEKEZAJI
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Uwekezaji ni moja kati ya sekta kubwa na nyeti nchini Tanzania. Hii inatokana na uhalisia kuwa ni moja kati ya sekta zinazoongoza kwa kuingizia taifa pato kubwa, kutokana na shughuli hii kujikita katika vipengele vingi vinavyogusa moja kwa moja uchumi wa taifa. Baadhi ya sekta ambazo zimekuwa zikiongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania ni pamoja na sekta ya madini, kilimo, viwanda, utalii, uvuvi, elimu, teknolojia na ujenzi.

ADVERTISEMENT

Kuna wawekezaji wa aina mbili, kwanza ni wawekezaji wa ndani kwa maana ya wazawa na wawekezaji wa nje yaani wageni. Kampuni mbalimbali kutoka nchi za nje zimefika nchini na kuanzisha miradi ikiwemo mashamba makubwa, viwanda, hoteli, shule na hata vyuo. Shughuli hizi kwa kiasi kikubwa zinasaidia katika kukuza uchumi wa taifa. Ni muhimu kutambua vitu vinavyowavutia wawekezaji wa nje kuja kuwekeza nchini Tanzania badala ya kuwekeza katika nchi zao. Zipo sababu nyingi zinazopeleka wawekezaji wa nje kuja kuwekeza nchini. Kati ya sababu hizo ni pamoja na:

  1. Uwepo wa maliasili za kutosha. Muwekezaji yeyote anapenda kujihakikishia upatikanaji wa malighafi ya kutosha . Tanzania ina maliasili nyingi zinazowavutia wawekezaji. Sekta ya madini na utalii ni moja kati ya sekta kubwa nchini ambazo zimekuwa zikiongoza kwa kuwa na wawekezaji wengi wa nje. ( Ripoti ya Kituo cha Uwekezaji 2012)
  2. Sera na kanuni rafiki kwa wawekezaji. Serikali inapoweka sera nzuri na kanuni rafiki ni dhahiri wawekezaji wengi watakuja kuwekeza nchini. Sera na kanuni za uwekezaji zinamsaidia muwekezaji kujua malengo ya kuwekeza, jinsi uwekezaji utakavyoendeshwa na kusimamiwa, sambamba na kujua tahadhari za kuchukua wakati wa uwekezaji.
  3. Utulivu wa kisiasa. Hakuna mwekezaji wa kigeni anayeweza kuwekeza kwenye nchi yenye vita. Nchi nyingi zenye vita hazina wawekezaji wa kiuchumi. Utulivu wa kisiasa ni moja kati ya vitu vikubwa vinavyoshawishi wawekezaji wengi wa kigeni kuwekeza nchini. Historia nzuri iliyo nayo nchi ya Tanzania imeendelea kuifanya nchi yenye kupokea wawekezaji wengi wa kigeni kwa sababu ya utulivu na uwepo wa amani.
  4. Kigezo cha usafiri na miundombinu. Serikali imekuwa ikiboresha miundombinu na kuboresha huduma za usafirishaji ili kuendelea kuwavutia wawekezaji wa kigeni kuwekeza kwa wingi zaidi. Katika maeneo ya utalii na viwanda na migodini, serikali imekuwa ikijenga na kuboresha miundombinu ikiwemo barabara, viwanja vya ndege, reli na bandari. Mfano ni mwendelezo wa ununuzi wa ndege mpya ambao serikali ya awamu ya tano imekuwa ikifanya, sambamba na ujenzi wa reli ya kisasa (SGR).
  5. Soko la uhakika na upatikanaji wa nguvukazi. Uwepo wa soko hapa nchini ni moja kati ya vitu vinavyowavutia wawekezaji. Wawekezaji wengi wa kigeni wamewekeza katika sekta ya utalii kwa kujenga hoteli, na kampuni za misafara ya watalii kama ilivyo katika sekta ya madini kampuni nyingi zimeajiri wazawa kama nguvukazi na wengine wakiajiriwa kama wasimamizi na waratibu wa shughuli zote za migodini.
Tags: miundombinusokouchumiwawekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wachimbaji wachekelea umeme

Waziri wa Nishati,Dk. Kalemani kuhusu miradi ya serikali (Video)

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In