• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mifumo dhabiti muhimu kwa mashirika ya umma

Patricia Richard by Patricia Richard
September 28, 2018
in BIASHARA
0
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB) Dk. Edmund Mndolwa

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB) Dk. Edmund Mndolwa

Share on FacebookShare on Twitter

Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Posta Tanzania (TPB) Dk. Edmund Mndolwa ametaja sababu ya mashirika mengi ya umma kutofika mbali kuwa ni kukosa mfumo dhabiti wa kiuongozi unaowaongoza kufanya vizuri. Dk. Mndolwa amesema hayo katika mkutano wa kimataifa wa mwaka ulioandaliwa na Taasisi ya Ukaguzi wa Mahesabu ya Ndani nchini (IIA) ambapo ameongeza kuwa mashirika zaidi ya 400 yamekufa kutokana na kukosa mfumo sahihi.

“Huwezi kupuuza mfumo wa kiuongozi katika kuendesha taasisi au mashirika ya umma, labda mashirika ambayo tulikuwa nayo zamani yangeendelea kama kungekuwa na mfumo imara wa kiuongozi wenye nia moja ya kuendesha mashirika hayo”. Amesema Mwenyekiti huyo.

ADVERTISEMENT

Katika maelezo yake, Dk. Mndolwa amesema kuna kila sababu ya kubadili mfumo wa kuendesha na kuongoza mashirika hasa katika usimamizi na kutoa mfano wa kampuni ya Enron Corporation ya Marekani iliyotangazwa kufilisika mwaka 20001 kwa kukosa kuwa na uongozi thabiti wa mfumo wa uendeshaji wake.

“Huu mfumo wa uongozi wa mashirika ni kitu kinachotakiwa kuwa akilini mwetu muda wote na kufanyiwa tathmini ya mara kwa mara ili mashirika ya umma yaweze kuendelea”. Ameeleza Dk. Mndolwa.

Tags: Dk. Edmund MndolwaIIATPB
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Matajiri wanatumiaje pesa zao?

Nini hasa huwavutia wawekezaji kuja Tanzania?

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In