• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali ya Tanzania yatumia Sh trilioni 1 kukuza uchumi, elimu

Miradi yote ya maendeleo inaendelea vizuri: Serikali

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
February 1, 2021
in UWEKEZAJI
0
Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan Abbas

Msemaji Mkuu wa Serikali Dk Hassan Abbas

Share on FacebookShare on Twitter

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dk Hassan Abbas amesema serikali imetoa zaidi ya Sh trilioni 1.05 kutekeleza miradi ya reli ya kisasa, mradi wa kusambaza umeme vijijini, mikopo ya elimu ya juu na kugharamia elimu bila malipo katika nusu mwaka wa mwaka wa fedha 2020/2021.

Dk Abbas alisema makusanyo kutoka sekta ya madini yameongezeka kwa asilimia 120 katika miezi sita ya mwaka wa fedha 2020/2021 ambapo Sh bilioni 317.5 zilikusanywa.

Alisema hayo katika muhtasari wa kazi ambazo zimeanza na zinaendelea kutekelezwa katika miaka mitano ya rais John Magufuli.

Alisema ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) unaogharimu Sh trilioni 7, serikali ilitoa Sh bilioni 274.1 kuugharamia katika nusu ya mwaka wa bajeti Julai hadi Disemba mwaka jana.

Dk Abbas alisema “mradi wa reli ya kisasa umeshafika zaidi ya asilimia 90 kwa kipande cha Dar es Salaam – Moro chenye urefu wa kilomita 300 huku kipande cha Moro-Makutupora mkoani Singida chenye kilomita 422 kimefikia asilimia 55 na tayari serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa kipande cha tatu cha Mwanza- Isaka chenye urefu wa kilomita 341.

Hivi karibuni nitatoa taarifa ya uzinduzi wa safari za treni katika kipande cha Dar hadi Moro na upokeaji wa vichwa vipya vya kisasa vya treni hiyo ya umeme”.

Kuhusu mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere alisema mradi huo ambao kwa sasa umefikia asilimia 30, katika nusu mwaka wa fedha, kiasi cha Sh bilioni 274.1 kimetolewa ambapo. Mradi huo utakamilika ndani ya miaka miwili ijayo na unagharimu Sh trilioni 6.5.

Akizungumzia mradi wa usambazaji umeme vijijini (REA), alisema kazi kubwa inaendelea na kuna mafanikio makubwa ambapo mpaka sasa vijiji 10,018 kati ya 12,317 vimefikiwa.

ADVERTISEMENT

Kuhusu sekta ya elimu, alisema rais Magufuli anaendelea kutimiza ahadi zake na kwamba kwenye mikopo ya elimu ya juu Sh bilioni 105 zilitolewa kwa awamu ya kwanza ya mikopo ya wanafunzi.

 

 

 

 

Tags: elimuelimu ya juuTanzaniaumeme
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Kutangaza kupanda kwa mishahara huongeza gharama za maisha: Majaliwa

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In