• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali yataka wawekezaji kufuata sheria

Patricia Richard by Patricia Richard
August 14, 2018
in UWEKEZAJI
0
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi na Ajira, Anthony Mavunde.

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi na Ajira, Anthony Mavunde.

Share on FacebookShare on Twitter

Serikali kupitia wizara ya Sera, Bunge Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu imewaondolea hofu wawekezaji na badala yake kuwataka kufuata sheria za nchi ili kuepuka usumbufu kutoka serikalini pindi wanapokiuka sheria.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri Antony Mavunde katika mkutano ulioandaliwa na Chama cha Wafanyakazi na Wawekezaji kutoka nchini China kwa lengo la kuendelea kuimarisha mahusiano mazuri ya kibiashara.

Waziri Mavunde amesema kuwa amefurahishwa na mkutano huo ambao lengo kuu lilikuwa ni kuzungumzia sheria za kazi na vibali vya wakazi.

Soma Pia Wawekezaji dawa za mifugo washauriwa kuchangamkia fursa

Waziri Mavunde ameeleza kuwa serikali ya awamu ya tano inahitaji sana wawekezaji kwa ajili ya kuleta maendeleo nchini, sanjari na kuongeza fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.

“Serikali ya Tanzania inawahitaji sana wawekezaji wanaofuata sheria za kazi na ukaazi (uhamiaji) kwa Wafanyakazi na wataalamu watakaoletwa nchini”

ADVERTISEMENT

Aidha Waziri  Mavunde amepongeza juhudi kubwa zilizofanywa na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) kwa kuweza kutafsiri sheria za kazi kutoka lugha ya kiswahili kwenda kichina ili kuwarahisishia wawekezaji hao kuzielewa vizuri sheria hizo.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa ATE Dk. Aggrey Mlimuka ameishukuru serikali kuitikia mwaliko, huku akisisitiza kuwa lengo la mwaliko huo ni kuikutanisha serikali na wawekezaji kujadili namna nzuri ya kukuza sekta ya uwekezaji kwa sababu uwekezaji mzuri ni ule unaoendana na mazingira mazuri sambamba na utii wa sheria zilizowekwa nchini.

Soma Pia Uboreshaji wa miundombinu wavutia wawekezaji

Akielezea baadhi ya changamoto wanazopata wawekezaji Dk. Mlimuka amesema ucheleweshaji wa vibali kwa mwekezaji, kutotii sheria za makazi hapa nchini ni baadhi ya vitu vinavyorudisha nyuma uwekezaji nchini.

Tags: ATETanzania ya viwandauwekezajiviwanda
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

ATCL kuimarika kufikia 2023

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In