• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Thursday, March 30, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Uchumi endelevu wa bahari kunufaisha Tanzania

Mkutano huo utatengeneza fursa zaidi za kuwekeza katika rasilimali za baharini ili kufanikisha azma ya kukuza uchumi na kuwezesha Tanzania ya viwanda.

Patricia Richard by Patricia Richard
November 16, 2018
in UWEKEZAJI
0
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Maliasili na Utalii, Uvuvi na Mifugo kutoka Serikali ya Zanzibar Dk. Islam Seif Salum (kushoto)

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Maliasili na Utalii, Uvuvi na Mifugo kutoka Serikali ya Zanzibar Dk. Islam Seif Salum (kushoto)

Share on FacebookShare on Twitter

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo, Maliasili na Utalii, Uvuvi na Mifugo Zanzibar, Dk. Islam Seif Salum ameeleza kuwa kuna umuhimu mkubwa wa Tanzania kama taifa kunufaika na fursa mbalimbali za uchumi endelevu wa bahari katika sekta za uvuvi, utafiti na uchimbaji wa mafuta na gesi na vilevile katika sekta ya utalii.

“Tuko hapa kujadiliana na kuweka mikakati ya pamoja kama nchi katika kuelekea mkutano mkubwa wa masuala ya kunufaika na rasilimali za uvivu katika bahari, mito, maziwa na mabwawa, dhana hii ni mpya hapa nchini kwetu ingawa tunatekeleza kwa kiwango kidogo”. Amesema Dk. Salum.

ADVERTISEMENT

Naibu Katibu huyo amesema mkutano huo utatengeneza fursa zaidi za kuwekeza katika rasilimali za baharini ili kufanikisha azma ya kukuza uchumi na kuwezesha Tanzania ya viwanda.

Naye Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Emelda Teikwa amesema dhana nzima ya ‘Blue Economy’ ni mpya kwa watanzania lakini umuhimu wake katika uchumi ni mkubwa.

“Tunaangalia namna ambavyo uchumi wa bahari unaweza kuchangia katika kukuza pato la taifa, kwa kuwa na uvuvi endelevu na kukuza sekta ya utalii”. Amesema Teikwa.

Tanzania ni moja kati ya nchi zitakazoshiriki katika mkutano mkubwa wa uchumi endelevu wa bahari (Sustainable Blue Economy) utakaofanyika Kenya mwishoni mwa mwezi huu.

Tags: Blue EconomyPato la taifauchumiviwandazanzibar
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kongamano uwezeshaji kufanyika Juni 15

Watakaoingiza mafuta kimagendo kuchukuliwa hatua

Discussion about this post

Habari Mpya

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023
Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba.

44.4bn kutumika matumizi ya kawaida na maendeleo

March 13, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

by Pesatu Reporter
March 28, 2023
0

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza viongozi wa Mkoa wa Simiyu wasiwabane wajasiriamali, wawaelimishe na kuwapa miongozo ili wajiendeleze kiuchumi. Majaliwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In