• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Serikali kuokoa Sh bilioni 500

Ni kwa kuwakopesha watumishi wenye magari ya serikali

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
June 28, 2022
in Elimu
0
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba. Picha|Mtandao

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba. Picha|Mtandao

Share on FacebookShare on Twitter

Serikali ya Tanzania itaokoa Sh bilioni 500 ambazo zinatumika kununua mafuta, vipuri na kufanya matengenezo ya magari ya viongozi.

Fedha hizo zitaokolewa endapo serikali itawakopesha viongozi wenye hadhi ya kuwa na magari magari hayo na kuwa yao tofauti na sasa ambapo magari hayo yanamilikiwa na kufanyiwa matengenezo na serikali.

Akiwasilisha bajeti ya Fedha kwa mwaka 2022/23 Bungeni Dodoma, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba ametoa mapendekezo ya kuwakopesha magari watumishi wenye hadhi ya kuwa na gari la Serikali.

Amesema “tukiwakopesha magari haya watasimamia vizuri matumizi ya mafuta, vipuri na magari yenyewe tofauti na hali ilivyo sasa.”

Waziri amebainisha kuwa kuna baadhi ya viongozi hutumia vibaya magari hayo pamoja na mafuta.

“Unakuta kiongozi anatoka Dodoma kwenda Dar es Salaam, gari linakuja na dereva na yeye anapanda ndege,” amesema Dk Nchemba.

ADVERTISEMENT

Ameeleza kuwa kwa sasa Serikali inatumia takribani Sh bilioni 550 kwa mwaka kwenye magari ambapo ikiwakopesha watumishi magari hayo itatumia Sh bilioni 50.5 na kuokoa Sh bilioni 500.
“Tumezidi mno kupenda uboss serikalini wakati kuna watu hata mlo mmoja hawana,” amesema Dk Nchemba akieleza kuwa fedha hizo zitaweza kutumika kununua madawa na kutoa mikopo kwa vyuo vya kati.

Katika bajeti hiyo, Waziri Nchemba amezungumzia suala la ulipaji kodi na maduhuli ya serikali akionya rushwa kwa wafanyabiashara na watoza kodi.

Ameeleza kuwa serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu imedhamiria kuweka mazingira bora kwa wafanyabiashara.

Kwenye sekta ya elimu, Waziri Nchemba alipendekeza kufutwa kwa ada ya kidato cha tano na sita.

Amesema Serikali itajipanga kusaidida vyuo vya kati kadri hali ya uchumi itakavyokuwa.

 

 

 

 

 

Tags: biasharaBungeniDodomaelimuSamia Suluhu HassanTanzania
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In