• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Makusanyo finyu yamkera Samia

“Makusanyo ya mapato yenu ni aibu tupu. Wakati wenzenu wanakusanya zaidi ya asilimia 80 ninyi mnakusanya asilimia 39 tu"

Patricia Richard by Patricia Richard
February 18, 2019
in FEDHA
0
Makusanyo finyu yamkera Samia

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan.

Share on FacebookShare on Twitter

Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewataka watendaji mkoani Singida kuhakikisha wanajiimarisha katika ukusanyaji mapato ya ndani katika halmashauri zao husika ili kuleta maendeleo kwa wananchi. Makamu wa Rais amesema hayo baada ya kupokea taarifa ya utekelezaji ya mkoa kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi, ambayo imeonyesha wastani wa makusanyo ya mapato kwa mkoa huo kwa sasa kuwa ni asilimia 39 tu.

“Makusanyo ya mapato yenu ni aibu tupu. Wakati wenzenu wanakusanya zaidi ya asilimia 80 ninyi mnakusanya asilimia 39 tu. Mnasubiri wenzenu wakusanye ninyi mje mgawiwe,” amesema Samia na kuongeza:

ADVERTISEMENT

“Huu ni unyonyaji. Tumieni vyanzo vyenu mbalimbali vya mapato ili kujiletea maendeleo yenu na ustawi wa wananchi wenu”

Mbali na hayo, Makamu huyo pia amesisitiza viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani humo kuondoa tofauti zao za kiutendaji na kuonya kuwa hali hiyo haitavumiliwa.

“Taarifa za ulinzi na usalama za mkoa zinaonyesha mahusiano baina ya baadhi ya viongozi na watendaji hapa kwenu zinaonesha hamko vizuri. Kila mmoja ana eneo lake la kazi, sasa mnachogombania ni nini”? Amehoji Samia.

Kwa upande wake, Dk. Nchimbi amekiri kuwa mkoa huo haufanyi vizuri katika makusanyo ya mapato na kusema hadi sasa, wamekusanya asilimia 39 tu.

Tags: Dk. Rehema NchimbimaendeleomapatoSamia Suluhu Hassansingida
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Wafanyabiashara Tanzanite wamwaga mamilioni

Wafanyabiashara Tanzanite watoa mamilioni

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In