• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

EPUKA HAYA BAADA YA KUPATA MKOPO

Jensen Kato by Jensen Kato
May 27, 2020
in MIKOPO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Watu wengi wanahitaji mikopo ili kujiendeleza katika shughuli zao mbalimbali za maendeleo. Kama wewe ni mfanyabiashara mdogo bila shaka unatamani kupata mkopo ili kuongeza mtaji wako ambao utapelekea ubora zaidi katika bidhaa au huduma inayotolewa. Lakini ikitokea unapata mikopo hii unaitumiaje? Matumizi yako ya fedha hizi yanakuhakikishia upatikanaji wa fedha zaidi? Ni vitu gani hutakiwi kufanya pindi unapopata mkopo? Makala hii inalenga kuelezea machache ambayo hayashauriwi kufanywa pale unapofanikiwa kupata mkopo.

Kwanza kabisa usikope ili kuanza biashara. Hili ni kosa kubwa ambalo watu wengi hufanya. Hutakiwi kuanza biashara na fedha ya mkopo kwani huna uhakika wowote kama biashara yako itarudisha faida katika kipindi cha mwanzo. Ni vizuri kupambana mpaka unzishe biashara yako, isimame na kuonyesha matumaini kidogo hapo ndipo unaweza kuhangaikia masuala ya mkopo ili ukusaidie kuboresha huduma zako. Wengi ambao wanaanzisha biashara kwa mikopo hawafanikiwi.

ADVERTISEMENT

Usichukue mkopo ili kufanya matumizi binafsi. Watu wengi huona muda waliopewa na taasisi za kifedha ili kurejesha mikopo ni mrefu hivyo hujisahau na kutumia fedha hizo katika matumizi binafsi ambalo hayana faida kiuchumi. Fedha za mkopo zinatakiwa kuwekezwa pale ambapo unaona kuna muelekeo wa fedha hizo kurejeshwa au zitumike katika shughuli za kiuchumi ambazo zinamuhakikishia mkopaji kipato zaidi. Kutumia fedha za mikopo katika matumizi binafsi sio busara kwani hutakuwa umeziweka katika shughuli yoyote ya kimaendeleo.

Pia wakati unafikiria kuomba mkopo ni vizuri kuchukua mkopo ambao una uhakika utaweza kuurejesha ndani ya muda uliopangwa. Usiombe mkopo mkubwa ambao utakupa matatizo wakati wa kurejesha. Ni vizuri kuchukua mkopo ambao upo ndani ya uwezo wako ili usijiweke katika hali ya kupoteza biashara yako au hata mali zako binafsi pale utakaposhindwa kuurudisha. Unatakiwa kukopa fedha ambazo zipo ndani ya uwezo wako kuzirudisha hata kama mipango yako haitaenda kama ulivyotarajia.

ADVERTISEMENT

Hakikisha unatumia fedha za mkopo kama ulivyopangilia. Kabla ya kuomba mkopo ni vizuri kuandaa mpango wako wa biashara na kuandika matarajio yako yote ili iwe rahisi wakati ukishapata mkopo. Ni vizuri kujiwekea malengo na kuwa na mikakati ya jinsi ya kutumia mkopo vizuri ili ufaidike nao na pia ufanye marejesho kwa wakati, hali ambayo itafanya taasisi husika kukuamini na kujenga mahusiano ya muda mrefu.

Jensen Kato

Jensen Kato

Next Post

JIAJIRI KUPITIA BIASHARA YA BAKERY

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In