• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Friday, March 31, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

M-Pesa na Mastercard kurahisisha manunuzi mtandaoni

Patricia Richard by Patricia Richard
September 11, 2018
in BIASHARA
0
Kaimu Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi (Kati), Raisi wa Kusini mwa Sahara wa Mastercard, Raghay Prasad (kushoto) na Mkuu wa hazina na kitengo cha soko la kimataifa wa Banki ABC, Barton Mwasamengo (kulia) wakionesha ushirikiano kati ya M-Pesa na Mastercard uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam.

Kaimu Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Hisham Hendi (Kati), Raisi wa Kusini mwa Sahara wa Mastercard, Raghay Prasad (kushoto) na Mkuu wa hazina na kitengo cha soko la kimataifa wa Banki ABC, Barton Mwasamengo (kulia) wakionesha ushirikiano kati ya M-Pesa na Mastercard uliozinduliwa jana jijini Dar es Salaam.

Share on FacebookShare on Twitter

Kampuni ya simu ya Vodacom Tanzania pamoja na Mastercard kwa ushirikiano na Benki ya BancABC wameungana na kuzindua kadi mpya ya mastercard iitwayo Virtual Card itakayowawezesha watumiaji wa huduma za M-Pesa kufanya manunuzi ya mtandaoni kwa urahisi kupitia kadi hiyo.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo iliyofanyika katika ukumbi wa Ramada Encore Jijini Dar es salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Plc, Hashim Hendi amesema kuwa wameamua kurahisisha huduma kwa watumiaji wa huduma ya M-Pesa wapatao Milioni 8.2 wakihudumiwa na mawakala wapatao laki moja waliosambaa nchi nzima, ikiwa ni katika kuleta mapinduzi ya manunuzi ya mtandaoni pamoja na kuwahakikishia watumiaji wa huduma ya M-Pesa usalama wa fedha zao.

“Huduma ya M-Pesa kutoka Vodacom ina wateja zaidi ya milioni 8.2 huku ikiwa na zaidi ya wakala laki moja waliotapakaa nchi nzima, hii inawezesha upatikananaji wa uhakika wa huduma za kifedha, lakini imekuwa ni ngumu pale linapokuja suala la kulipia manunuzi mtandaoni haswa kupitia tovuti za kimataifa. Uzinduzi na ufanyaji kazi wa Virtual Card kupitia M-Pesa utaleta mapinduzi katika kuwezesha watanzania kufanya manunuzi mtandaoni pamoja na kuwahakikishia usalama wa taarifa zao za kibenki” Alisema Hendi.

Uunganishwaji wa intaneti katika bara la Afrika unatajwa kuwa chanzo cha upatikanaji mkubwa wa simu janja (Smartphone), ambapo ukuaji huo umekuwa ukienda sambamba na ongezeko la huduma za kimtandao ikiwa ni pamoja na manunuzi, matumizi ya mitandao ya kijamii, maudhui ya kidijitali na M-Commerce.

Akielezea namna Virtual Card itakavyotumika kufanya manunuzi ya mtandaoni, Hendi amesema kuwa kadi hiyo itawawezesha wateja wa M-Pesa kufanya malipo ya aina mbalimbali kupitia tovuti za nje na za ndani ya nchi, ama kufanya malipo kwa App zinazohitaji matumizi ya Mastercard bila ya uhitaji wa akaunti ya benki au kadi ya Mkopo (Credit Card), huku huduma hiyo ikitarajiwa kuwepo kwenye menu ya M-Pesa pamoja na App ya M-Pesa na kuongeza kuwa mteja ataweza kutumia kadi hiyo mara baada ya kuwa imeshajazwa pesa.

Kwa upande wake Rais wa Mastercard kwa divisheni ya Ukanda wa Sahara Bw. Raghav Prasad amesema kuwa uwepo wa huduma za kifedha kwa njia ya mtandao umesaidia kwa kiasi kikubwa kurahisisha utoaji huduma kwa kuwa watu wengi wameweza kununua bidhaa au kupata huduma pasipo kuwa na fedha mkononi ambayo ni huduma jumuishi na kuongeza kuwa miaka ya mbeleni kila huduma itaweza kutolewa kwa kutumia simu ya mkononi kwa sababu hiyo ndio mtu anakuwa nayo kila mahali aendako.

Tanzania imekuwa ikipiga hatua kubwa katika kukuza huduma za mtandaoni pamoja na kuwahakikishia usalama watumiaji wake ambapo takwimu zinaonyesha kuwa asilimia 15.8 ya watanzania mwaka 2009 walikuwa wanashikilia uchumi wa nchi idadi ambayo imepanda hadi asilimia 65.3 kwa mwaka 2017 ikiwa imechangiwa na uwepo wa huduma za kifedha kwa simu za mkononi ikiwemo ya M-Pesa.

ADVERTISEMENT

 

 

Tags: BancAbcM-PesaMastercardTeknolojiaVodacom Tanzania
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Kanuni ya Pareto inavyokuza biashara

Jinsi ya kuweka akiba

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

March 31, 2023

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

March 30, 2023
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Msiwabanie vijana wajasiriamali: Majaliwa

March 28, 2023
Lusaka-Zambia. Picha|Mtandao

Watanzania watakiwa kuchangamkia fursa Zambia

March 27, 2023
Waziri  wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa, Adolf Mkenda.

Waziri wa Elimu azungumza na Benki ya Dunia

March 27, 2023

Bilioni 647.5 kuitoa Kagera gizani

March 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda.

10m kwa mshindi wa Tuzo ya Taifa ya Mwl Nyerere

by Pesatu Reporter
March 31, 2023
0

Kilele cha Tuzo ya Taifa ya Mwalimu Nyerere ya Uandishi Bunifu kinatarajia kufanyika Aprili 13, 2023 Jijini Dar es Salaam...

Serikali, Benki ya Dunia wajadili ushiriki Sekta binafsi

by Pesatu Reporter
March 30, 2023
0

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru amesema Serikali inafanya majadiliano ya kimkakati na Benki ya Dunia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In