• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Fahamu vikwazo vya mafanikio yako.

Huwezi kutimiza malengo yako kama unakosa lengo maalum kutoka mwanzo.

Abdul Kassim by Abdul Kassim
May 12, 2020
in BIASHARA, Lifestyle, UJASIRIAMALI
0
Stressed fashion-designer thinking over new project

Stressed fashion-designer thinking over new project

Share on FacebookShare on Twitter

Ni rahisi kutengeneza vikwazo unaposhindwa kufikia malengo uliyonayo lakini ukweli halisi ni kwamba, kama huwezi kupigania kile unachotaka huenda ni kwa sababu huna nia ya kufika mahali hapo. Sababu nyingi zinazopelekea kutotimiza malengo ni rahisi kutatuliwa endapo ukitulia na kutafakari kwa kina changamoto hizo kwa kuwa ni changamoto ambazo huwakuta watu wengi.

Katika makala hii, nitaeleza baadhi ya vikwazo ambavyo vinakwamisha kutimiza malengo.

Kukosa malengo maalum

Kamwe huwezi kutimiza malengo yako kama unakosa lengo maalum kutoka mwanzo. Malengo kama ‘utajiri’ au ‘kuwa na mafanikio’ sio malengo maalum kwani huna mkakati wa jinsi ya kufika huko. Kwa kuanza tafakari kwa makini malengo yako hasa ni nini. Kuwa na lengo maalum na baada ya hapo andaa mpango maalum ambao utakusaidia kutimiza lengo hilo. Kwa mfano badala ya kusema lengo lako ni kununua nyumba, sema kwamba lengo lako ni kuwa na akiba ya Sh. 10,000,000 ili kununua nyumba ndani ya miaka miwili ijayo.

Ratiba

Kama unaamka na kufanya kitu hicho hicho kila siku, biashara, ajira au mradi wako utakuwa ni sehemu tu ya siku yako kwa kuwa unakosa hamasa ya kujituma na kuleta mabadiliko. Ili kufikia malengo yako, ni muhimu kuwa na ratiba ambayo itakuongoza  sio tu katika majukumu yako bali katika kutimiza malengo madogo madogo bila kukariri.

Muongozo

ADVERTISEMENT

Kukosa muongozo sahihi ni kama kwenda mahali ambapo hupafahamu vizuri hivyo hujui njia sahihi. Wakati mwingine kuwa na mtu ambaye anakuongoza na kukushauri ni muhimu kwani unakuwa na uhakika wa muelekeo wako. Washauri ni watu muhimu katika mafanikio na kutimiza malengo kwa kuwa wana ujuzi zaidi na hivyo watakuongoza vizuri.

Uwajibikaji

Kuwa mchapakazi ni kitu kimoja lakini kuwa na moyo wa kuendelea kuhamasika kufanya kazi kwa bidii siku hadi siku ni kitu kingine. Hii hutokea hata kwa watu ambao wamefanikiwa. Wakati mwingine unakosa hamasa ya kufanya kazi hivyo unakata tamaa ya kutimiza malengo yako.

Kutojifunza kutokana na makosa

Badala ya kuvunjika moyo kwa sababu ya makosa yako, jifunze na jaribu kuepuka kuyarudia kwa mara nyingine tena. Lazima utakutana na changamoto ambazo zinaweza kukufanya ukate tamaa. Chukua changamoto hizo na zitumie kujifunza na kuwa bora zaidi ili kufika unapotaka.

 

Abdul Kassim

Abdul Kassim

Next Post

FUGA SAMAKI KISASA

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In