• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, February 5, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Iache pesa yako ikutumikie

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ardhi ni moja kati ya rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu.watu wengi wamekuwa wakiwekeza katika majengo kama njia mojawapo ya kujiingizia kipato. Wamiliki mbalimbali wa ardhi wamekuwa wakijenga majengo ya kuishi ama ya kibiashara na kupangisha katika miaka ya hivi karibuni. Uwekezaji huu unaonekana kuwa na faida kubwa japokuwa mmiliki nae hutumia gharama na muda mwingi kuhakikisha kuwa kila kitu kinaenda sawa kabla ya kufanya biashara hiyo ya upangishaji.

Uwekezaji huu umeendelea kuwavutia watu wengi hususani vijana lakini kabla ya kuwekeza katika majengo ni muhimu kuwa na uelewa wa kina kuhusiana na biashara hii ili ikupatie faida. Watanzania wengi hawana desturi ya kujifunza kuhusiana na majengo kwa kina na hupendelea kuifanya kiholela bila ya kuweka akilini madhara ambayo yanaweza kutokana na uelewa mdogo wa kuwekeza katika majengo. Ikiwa unafikiria kufanya ujasiriamali huu, ni muhimu kuzingatia haya yafuatayo.

Kwanza kabisa mmiliki anapaswa kufahamu kanuni na taratibu zilizopo kwa mujibu wa sheria. Tumeona sehemu nyingi hapa nchini zikikumbwa na adha ya bomoa bomoa hivi karibuni. Ni muhimu kwa yoyote anayefikiria kuwekeza katika majengo kuhakikisha kuwa sheria zilizopo hazimuwekei kikwazo chochote mahali anapotarajia kujenga kabla ya kuanza ujenzi. Watu wengi wamekuwa wakivunjiwa maeneo yao ya biashara kutokana na kwamba hawana uelewa wa kutosha wa sheria za nchi hivyo uwekezaji wao wote unapotea na kuwapatia hasara kubwa. Kuna umuhimu mkubwa wa kufuatilia taratibu zote za sheria ikiwa unafikiria kuwekeza katika majengo.

ADVERTISEMENT

Tumia wataalamu ili kupata matokeo bora zaidi. Watanzania wengi hufanya kazi kwa mazoea wakiamini kuwa ni rahisi kumpa kazi mtu unayemfahamu bila kujali uzoefu na utaalamu wake. Hii inawaathiri wengi katika uwekezaji huu wa majengo. Ni vizuri wamiliki wajenge mazoea ya kutumia wataalamu waliobobea katika majengo ili mbali na kupata majengo yenye ubora pia wapate ushauri bora na kufahamu kwa undani zaidi kuhusiana na uwekezaji wao. Nyumba ni hitaji muhimu kwa binadamu na ni uwekezaji mzuri endapo utajenga kibiashara.

Ni muhimu kufanya utafiti kwenye eneo unalotarajia kufanya ujenzi kabla hujaamua kujenga. Hii itasaidia kutambua fursa na mambo hatarishi yaliyopo katika mazingira hayo na vilevile jinsi ya kuyatatua au kukabiliana nayo. Majanga ya bomoa bomoa, moto, mafuriko na vimbunga ndiyo yanayoathiri uwekezaji huu kwa kiasi kikubwa. Kabla ya ujenzi ni vizuri kujiridhisha juu ya eneo husika ili kulinda uwekezaji wako dhidi ya majanga mbalimbali.

 

Tags: ardhiujasiriamaliuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Fahamu zaidi kuhusu kilimo cha tikiti maji

Discussion about this post

Habari Mpya

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023
Mohammed Dewji (Mo Dewji). Picha|Mtandao

Watieni nguvu wawekezaji: Makalla

January 30, 2023

Vijana Tanzania kupatiwa eka 10 kulima

January 30, 2023

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Naibu Waziri wa Kilimo Anthony Mavunde amewataka vijana nchini Tanzania kuchangamkia fursa zilizopo kwenye sekta ya kilimo kupitia utekelezaji wa...

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

by Pesatu Reporter
January 31, 2023
0

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema kipindi cha mwezi July...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In