• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Iache pesa yako ikutumikie

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Ardhi ni moja kati ya rasilimali muhimu katika maisha ya binadamu.watu wengi wamekuwa wakiwekeza katika majengo kama njia mojawapo ya kujiingizia kipato. Wamiliki mbalimbali wa ardhi wamekuwa wakijenga majengo ya kuishi ama ya kibiashara na kupangisha katika miaka ya hivi karibuni. Uwekezaji huu unaonekana kuwa na faida kubwa japokuwa mmiliki nae hutumia gharama na muda mwingi kuhakikisha kuwa kila kitu kinaenda sawa kabla ya kufanya biashara hiyo ya upangishaji.

Uwekezaji huu umeendelea kuwavutia watu wengi hususani vijana lakini kabla ya kuwekeza katika majengo ni muhimu kuwa na uelewa wa kina kuhusiana na biashara hii ili ikupatie faida. Watanzania wengi hawana desturi ya kujifunza kuhusiana na majengo kwa kina na hupendelea kuifanya kiholela bila ya kuweka akilini madhara ambayo yanaweza kutokana na uelewa mdogo wa kuwekeza katika majengo. Ikiwa unafikiria kufanya ujasiriamali huu, ni muhimu kuzingatia haya yafuatayo.

Kwanza kabisa mmiliki anapaswa kufahamu kanuni na taratibu zilizopo kwa mujibu wa sheria. Tumeona sehemu nyingi hapa nchini zikikumbwa na adha ya bomoa bomoa hivi karibuni. Ni muhimu kwa yoyote anayefikiria kuwekeza katika majengo kuhakikisha kuwa sheria zilizopo hazimuwekei kikwazo chochote mahali anapotarajia kujenga kabla ya kuanza ujenzi. Watu wengi wamekuwa wakivunjiwa maeneo yao ya biashara kutokana na kwamba hawana uelewa wa kutosha wa sheria za nchi hivyo uwekezaji wao wote unapotea na kuwapatia hasara kubwa. Kuna umuhimu mkubwa wa kufuatilia taratibu zote za sheria ikiwa unafikiria kuwekeza katika majengo.

ADVERTISEMENT

Tumia wataalamu ili kupata matokeo bora zaidi. Watanzania wengi hufanya kazi kwa mazoea wakiamini kuwa ni rahisi kumpa kazi mtu unayemfahamu bila kujali uzoefu na utaalamu wake. Hii inawaathiri wengi katika uwekezaji huu wa majengo. Ni vizuri wamiliki wajenge mazoea ya kutumia wataalamu waliobobea katika majengo ili mbali na kupata majengo yenye ubora pia wapate ushauri bora na kufahamu kwa undani zaidi kuhusiana na uwekezaji wao. Nyumba ni hitaji muhimu kwa binadamu na ni uwekezaji mzuri endapo utajenga kibiashara.

Ni muhimu kufanya utafiti kwenye eneo unalotarajia kufanya ujenzi kabla hujaamua kujenga. Hii itasaidia kutambua fursa na mambo hatarishi yaliyopo katika mazingira hayo na vilevile jinsi ya kuyatatua au kukabiliana nayo. Majanga ya bomoa bomoa, moto, mafuriko na vimbunga ndiyo yanayoathiri uwekezaji huu kwa kiasi kikubwa. Kabla ya ujenzi ni vizuri kujiridhisha juu ya eneo husika ili kulinda uwekezaji wako dhidi ya majanga mbalimbali.

 

Tags: ardhiujasiriamaliuwekezaji
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

Fahamu zaidi kuhusu kilimo cha tikiti maji

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In