• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Wednesday, February 8, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

TEHAMA: Fursa mpya ya kukuza uchumi

Patricia Richard by Patricia Richard
May 18, 2018
in UJASIRIAMALI
0
Businessman checking stock market on tablet

Businessman checking stock market on tablet

Share on FacebookShare on Twitter

Ukuaji wa teknolojia umekuwa wa kasi hapa nchini. Kumekuwa na fursa nyingi za biashara kutokana na ukuaji wa sayansi na teknolojia. Watu wengi zaidi wamekuwa wakihamia katika sekta hii ili kujiingizia kipato kwa kuajiriwa, kujiajiri au kuwekeza. Teknolojia imekuwa tumaini jipya kwa wengi hivi sasa. Mbali na kutoa fursa mbalimbali za biashara, ukuaji wa teknolojia pia umeboresha shughuli za viwandani.kama unafikiria kuwekeza katika masuala ya teknolojia, unaweza kufanya hivyo kwa namna zifuatazo.

Kupitia teknolojia, kuna fursa nzuri ya kuanzisha biashara katika maeneo ya vijijini ambayo bado hayajafikiwa na umeme. Umeme jua umekuwa mkombozi wa wengi. Teknolojia hii hutumika kwa wingi kama namna moja wapo ya kujiajiri na kujiingizia kipato. Matumizi mbalimbali ya umeme yanaweza kuendelea kupitia teknolojia hiyo hivyo mjasiriamali anaweza kutumia vifaa hivyo na kuanzisha biashara ya vinywaji baridi, kuchaji simu, mgahawa mdogo na nyingine nyingi zitakazomuwezesha kujiingizia kipato kizuri tu.

Mbali na hayo pia unaweza kuwekeza katika teknolojia kwa kukuza biashara yako mtandaoni. Hapa utahitaji kuwekeza muda zaidi kuliko fedha. Wengi hufanya biashara mitandaoni lakini tofauti inakuja katika ubora wa biashara yako pamoja na namna unavyohudumia wateja wako. Japokuwa mawasiliano yatafanyika kwa asilimia kubwa kupitia mitandao ni vizuri kuhakikisha kuwa unatoa huduma bora zaidi za usafirishaji kwa wateja watakao kuwa mbali na pia tumia muda ako kuwasikiliza wateja na kuwapa huduma bora zaidi.

Unaweza kuwekeza kwenye tovuti na kupata kipato kutokana na matangazo pamoja na taarifa unazoandaa. Wengi wameweza kupata ajira kutokana na kuanzisha tovuti hivyo vya kuwekeza kiasi kidogo katika biashara hii unaweza kufaidika kwani aina hii ya teknolojia inaendelea kukua kwa kasi hivyo soko nalo katika biashara hii linaendelea kukua siku hadi siku.

ADVERTISEMENT

Uwekezaji huu unazo changamoto zake lakini unaonyesha kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Watu wengi wanaendesha maisha yao kwa njia hii na wengi zaidi wamekuwa wakitamani kufanya biashara kwa kutumia mifumo ya teknolojia. Lakini ili uchumi wetu uimarike kupitia sekta hii ni vizuri kutoa elimu za kompyuta mashuleni na kuwazoesha wanafunzi kuelewa teknolojia kuanzia ngazi ya elimu ya msingi, ni vizuri kuwe na upatikanaji wa umeme wa uhakika na wa bei nafuu ili watu wengi zaidi wapate kufikiwa na pia ni muhimu kwa makampuni na taasisi mbalimbali kuwekeza katika teknolojia ili kuwaonyesha njia wawekezaji wadogo.

 

Tags: ajirabiasharaelimuMjasiriamaliTeknolojiauchumi
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

TRA yakamata bidhaa za magendo Arusha

Discussion about this post

Habari Mpya

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

February 7, 2023

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

February 7, 2023
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji.

Kijaji: changamkieni fursa za biashara Afrika

February 6, 2023
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi

Rais Mwinyi aonya wafanyabiashara

February 6, 2023
Baadhi ya vijana wakiwa kwenye Kongamano la Vijana wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati lijulikanalo kama ‘University Ladies and Gentlemen Conference.

Vijana wahamasishwa kuchangamkia fursa za kilimo

January 31, 2023
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki.

Halmashauri Tanzania zakusanya 485.42 bilioni

January 31, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Hewa ukaa, eneo jipya la uwekezaji Tanzania

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Pindi Chana amewakaribisha wawekezaji kufanya biashara ya hewa ukaa na Serikali ya Tanzania. Dkt....

Halmashauri zahamasishwa kutenga maeneo kwa ajili ya vijana

by Pesatu Reporter
February 7, 2023
0

Halmashauri za Wilaya nchini zinahamasishwa kuendelea kutenga maeneo kwa ajili ya mashamba ya pamoja (Block Farm) kwa ajili ya kuwezesha...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In