• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Monday, May 23, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vikundi vya wajasiriamali vyakabidhiwa hundi ya bilioni 2

Ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato ya ndani

Pesatu Reporter by Pesatu Reporter
December 10, 2021
in UJASIRIAMALI
0
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amekabidhi hundi ya Shilingi Bilioni 2 kwa vikundi 97 vya kujikwamua kiuchumi kutoka Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya asilimia 10 ya mapato ya ndani.

Mapato hayo hutengwa kwaajili ya mikopo ya kuwaendeleza wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

ADVERTISEMENT

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi hundi iliyoambatana na maonyesho ya wajasiriamali katika viwanja vya Mnazi Mmoja, RC Makalla amepongeza Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam kwa kutekeleza agizo la serikali la kuwezesha wananchi kiuchumi.

Aidha RC Makalla amevitaka vikundi vinavyokopeshwa kurejesha fedha hizo kwa wakati ili ziweze kusaidia vikundi vingine.

Hata hivyo RC Makalla amezielekeza Manispaa nyingine za Mkoa huo kutekeleza takwa la kisheria kwa kutoa 10% ya Mapato ya ndani kuviwezesha vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

RC Makalla pia ametoa wito kwa wananchi kununua bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wazawa ili kuinua uchumi wa Taifa na kutoa wito kwa wajasiriamali kuwa wabunifu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam Jumanne Shauri amesema katika Bilion 2 zilizotolewa, vikundi 46 vya Wanawake vimepata milion 980, vikundi 43 vya vijana Shilingi Milion 890 na vikundi 8 vya watu wenye ulemavu Milioni 157.

Maonyesho hayo yamehudhuriwa na pia na Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Wabunge wa majimbo ya Ilala, Segerea na Ukonga, Mstahiki meya Ilala, Katibu tawala wa Ilala na watu mbalimbali.

Tags: Dar es salaamuchumivijanaVikundiwajasiriamaliwanawake
Pesatu Reporter

Pesatu Reporter

Next Post
Photo| Humming Zone

Matatizo ya kiusalama yashusha uwekezaji Nigeria

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

May 23, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

May 23, 2022

RC Makalla: Serikali imedhamiria kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara

May 19, 2022

Madereva watakiwa kuzima magari ya serikali

May 17, 2022

Waziri Mkuu apokea taarifa nyongeza ya mishahara

May 11, 2022
Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia atangaza mkakati bei ya mafuta

May 10, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo, uvuvi, ufugaji kuwekewa mkazo

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali imeweka mkazo mkubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji kuanzaia mwaka wa fedha...

Rais Samia Suluhu. Picha|Mtandao

Rais Samia aenda Ghana

by Pesatu Reporter
May 23, 2022
0

Rais Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Accra, Ghana kwa ajili ya ziara ya kikazi ya siku tatu. Akiwa...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In