• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mkulima, pitia hii

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Miezi michache iliyopita, kampuni ya utafiti ya BMI ilitoa ripoti yake kuhusu biashara ya kilimo ambapo imebainika kuwa uhitaji wa mazao ya kahawa, mahindi, miwa na mchele utaongezeka maradufu ndani ya miaka michache ijayo. Japokuwa haya ni makadirio tu, hii ni habari njema kwa wadau wa masuala ya kilimo Tanzania. Wakulima na hata wale wanaofikiria kuwekeza katika kilimo wamepewa mwanga na namna sekta hiyo itakavyokuwa miaka michache kuanzia sasa. Hivyo basi wanajiandaa vipi? Ripoti hii itawasaidia kujikwamua na kukabiliana na ushindani sokoni? Vipi kuhusu teknolojia wanayotumia?

Ni vizuri kama wakulima wakijiandaa ili hadi kufikia kipindi ambacho mazao haya yatakuwa  na uhitaji mkubwa kote ndani na nje ya nchi basi wawe tayari. Lakini wao peke yao hawawezi kufanikisha hili. Wanahitaji msaada kutoka serikali kuu pamoja na mashirika mengine yasiyo na kiserikali. Wanahitaji kupatiwa elimu, pembejeo na misaada mengine ya msingi ili wafanikiwe kupata mavuno yaliyo bora na ambayo yatawaletea faida.

Tafiti kama hizi zina umuhimu mkubwa kwa taifa kwani asilimia kubwa ya watanzania wamejiajiri au kuajiriwa kupitia kilimo. Tafiti kama hizi zinawasaidia watu hawa kupata muelekeo. Zinatoa picha halisi ya kipi kinahitajitaka sokoni na kipi hakihitajiki. Huu ni muda wa serikali kutoa ushirikiano na kuangalia namna gani wanaweza kuwasaidia. Jitihada pia zifanyike ili kuhakikisha kuwa hata wale wakulima ambao hawafikiwi na habari muhimu kama hizi wanapata taarifa ili nao pia wajipange.

ADVERTISEMENT

Wakulima nao waanze kulima kwa faida. Ni wakati wa kuachana na kilimo cha mazoea. Ili kufanya hivyo, wanatakiwa kuwa wafuatiliaji wa masuala ya kilimo, waangalie hali ya soko iko vipi na pia wafuate ushauri wa wataalamu wa kilimo. Watanzania wengi wamekuwa wakifanya kilimo kisicho cha kisasa na hivyo wameshindwa kupata matokeo mazuri. Tafiti kama hizi zinazofanywa zinasaidia kwa kiasi kikubwa kuwapa wakulima mwanga. Teknolojia nayo inarahisha upatikanaji wa habari kama hizi na kujifunza namna gani unaweza kuboresha kilimo chako. Elimu zaidi inatakiwa kutolewa kwa wakulima kuhusu jinsi ya kutumia mitandao na teknolojia kwa ujumla ili kufanya kilimo bora.

Kilimo ni sekta muhimu sana katika maendeleo ya taifa letu kwani watanzania wengi wanaitegemea kuendesha maisha yao. Wadau wa kilimo wanatakiwa kufanya kazi kwa karibu na wakulima ili kuhakikisha kuwa, kilimo kinafanyika kisasa zaidi na kuwanufaisha watanzania walio wengi. Kilimo bora ni nguzo ya kuwa na viwanda bora na sekta hizi mbili zitasaidia kuinua uchumi wa nchi na kutufikisha mbali kimaendeleo.

 

Tags: biasharaBMIelimukilimoTeknolojia
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

CBA kuboresha huduma

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In