• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, January 29, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Mkulima, pitia hii

Patricia Richard by Patricia Richard
May 16, 2018
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Miezi michache iliyopita, kampuni ya utafiti ya BMI ilitoa ripoti yake kuhusu biashara ya kilimo ambapo imebainika kuwa uhitaji wa mazao ya kahawa, mahindi, miwa na mchele utaongezeka maradufu ndani ya miaka michache ijayo. Japokuwa haya ni makadirio tu, hii ni habari njema kwa wadau wa masuala ya kilimo Tanzania. Wakulima na hata wale wanaofikiria kuwekeza katika kilimo wamepewa mwanga na namna sekta hiyo itakavyokuwa miaka michache kuanzia sasa. Hivyo basi wanajiandaa vipi? Ripoti hii itawasaidia kujikwamua na kukabiliana na ushindani sokoni? Vipi kuhusu teknolojia wanayotumia?

Ni vizuri kama wakulima wakijiandaa ili hadi kufikia kipindi ambacho mazao haya yatakuwa  na uhitaji mkubwa kote ndani na nje ya nchi basi wawe tayari. Lakini wao peke yao hawawezi kufanikisha hili. Wanahitaji msaada kutoka serikali kuu pamoja na mashirika mengine yasiyo na kiserikali. Wanahitaji kupatiwa elimu, pembejeo na misaada mengine ya msingi ili wafanikiwe kupata mavuno yaliyo bora na ambayo yatawaletea faida.

ADVERTISEMENT

Tafiti kama hizi zina umuhimu mkubwa kwa taifa kwani asilimia kubwa ya watanzania wamejiajiri au kuajiriwa kupitia kilimo. Tafiti kama hizi zinawasaidia watu hawa kupata muelekeo. Zinatoa picha halisi ya kipi kinahitajitaka sokoni na kipi hakihitajiki. Huu ni muda wa serikali kutoa ushirikiano na kuangalia namna gani wanaweza kuwasaidia. Jitihada pia zifanyike ili kuhakikisha kuwa hata wale wakulima ambao hawafikiwi na habari muhimu kama hizi wanapata taarifa ili nao pia wajipange.

Wakulima nao waanze kulima kwa faida. Ni wakati wa kuachana na kilimo cha mazoea. Ili kufanya hivyo, wanatakiwa kuwa wafuatiliaji wa masuala ya kilimo, waangalie hali ya soko iko vipi na pia wafuate ushauri wa wataalamu wa kilimo. Watanzania wengi wamekuwa wakifanya kilimo kisicho cha kisasa na hivyo wameshindwa kupata matokeo mazuri. Tafiti kama hizi zinazofanywa zinasaidia kwa kiasi kikubwa kuwapa wakulima mwanga. Teknolojia nayo inarahisha upatikanaji wa habari kama hizi na kujifunza namna gani unaweza kuboresha kilimo chako. Elimu zaidi inatakiwa kutolewa kwa wakulima kuhusu jinsi ya kutumia mitandao na teknolojia kwa ujumla ili kufanya kilimo bora.

Kilimo ni sekta muhimu sana katika maendeleo ya taifa letu kwani watanzania wengi wanaitegemea kuendesha maisha yao. Wadau wa kilimo wanatakiwa kufanya kazi kwa karibu na wakulima ili kuhakikisha kuwa, kilimo kinafanyika kisasa zaidi na kuwanufaisha watanzania walio wengi. Kilimo bora ni nguzo ya kuwa na viwanda bora na sekta hizi mbili zitasaidia kuinua uchumi wa nchi na kutufikisha mbali kimaendeleo.

 

Tags: biasharaBMIelimukilimoTeknolojia
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post

CBA kuboresha huduma

Discussion about this post

Habari Mpya

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

January 26, 2023

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

January 21, 2023

Serikali kuanzisha mnada wa chai

January 20, 2023

Tumieni bandari ya Dar es Salaam: Makalla

January 19, 2023
Rais Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Jukwaa la Uchumi Duniani.

Sekta ya kilimo kukua kwa 10% 2030: Rais Samia

January 19, 2023

Ndege tano kuwasili mwaka huu

January 17, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Poland kuisaidia Tanzania kuweka mifumo ya kodi kidigitali

by Pesatu Reporter
January 26, 2023
0

Poland imeahidi kuisadia Tanzania kuimarisha mifumo ya kodi kwa njia ya kidigitali ili kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato ya...

Kamati ya bunge yahimiza uwekezaji maeneo ya hifadhi

by Pesatu Reporter
January 21, 2023
0

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii iendelee kuzifanyia maboresho kanuni...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In