• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, September 24, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vikundi 11 vyanufaika na mkopo Longido

“Serikali imetoa mkopo huu bila riba, hivyo ni wajibu wenu kutumia na kurejesha ili iweze kuendeleza vikundi vingine vya wilaya”. Ameeleza Mwaisumbe

Patricia Richard by Patricia Richard
November 2, 2018
in MIKOPO
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe amesema Halmashauri ya wilaya hiyo imetoa Sh. 42,630,000 kwa vikundi kumi na moja ikiwa ni makusanyo ya mapato ya ndani kama ambavyo serikali imeagiza kwa halmashauri zote nchini. Mwaisumbe aliyekabidhi fedha hizo amesema lengo ni kuwawezesha kiuchumi wananchi walio na hali ngumu kiuchumi na kuwashauri watakaonufaika na mkopo huo kurejesha ndani ya muda uliopangwa.

“Serikali imetoa mkopo huu bila riba, hivyo ni wajibu wenu kutumia na kurejesha ili iweze kuendeleza vikundi vingine vya wilaya”. Ameeleza Mwaisumbe.

Aidha, Mkuu huyo wa mkoa amesema atashirikiana kwa karibu na watendaji wa halmashauri hiyo ili kuhakikisha kuwa vyanzo vipya vya mapato vinapatikana na kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kuwapa mahitaji yao ikiwemo kuwawezesha kiuchumi.

ADVERTISEMENT

“Niseme tu sina wasiwasi na halmashauri hii chini ya Mkurugenzi wake, Juma Mhina katika ukusanyaji wa mapato, niseme ninawapongeza na endeleeni kupiga kazi kwa kutetea maslahi ya wilaya na taifa”. Ameongeza Mkuu huyo wa wilaya.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido, Juma Mhina amesema halmashauri hiyo imefanikiwa kwa mara ya kwanza kutoa mkopo kwa asilimia 100 na kueleza kuwa wamepiga hatua kwani mwaka jana walitoa mkopo kwa asilimia 75 pekee.

“Miaka ya nyuma makusanyo yalikuwa madogo, ilikuwa Sh. 400 milioni ila kwa sasa tumepiga hatua kutoka hapo hadi Sh. 1 bilioni na kupitia mapato haya tunatoa asilimia 10 kutekeleza agizo la serikali”. Ameeleza Mhina.

Tags: fedhaFrank MwaisumbeLongidomapato
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Fahamu haya kuhusu pamba

Dk. Tizeba apongeza uzalishaji pamba

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In