• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Tuesday, June 28, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Vikundi 11 vyanufaika na mkopo Longido

“Serikali imetoa mkopo huu bila riba, hivyo ni wajibu wenu kutumia na kurejesha ili iweze kuendeleza vikundi vingine vya wilaya”. Ameeleza Mwaisumbe

Patricia Richard by Patricia Richard
November 2, 2018
in MIKOPO
0
Matajiri wanatumiaje pesa zao?
Share on FacebookShare on Twitter

Mkuu wa Wilaya ya Longido, Frank Mwaisumbe amesema Halmashauri ya wilaya hiyo imetoa Sh. 42,630,000 kwa vikundi kumi na moja ikiwa ni makusanyo ya mapato ya ndani kama ambavyo serikali imeagiza kwa halmashauri zote nchini. Mwaisumbe aliyekabidhi fedha hizo amesema lengo ni kuwawezesha kiuchumi wananchi walio na hali ngumu kiuchumi na kuwashauri watakaonufaika na mkopo huo kurejesha ndani ya muda uliopangwa.

“Serikali imetoa mkopo huu bila riba, hivyo ni wajibu wenu kutumia na kurejesha ili iweze kuendeleza vikundi vingine vya wilaya”. Ameeleza Mwaisumbe.

Aidha, Mkuu huyo wa mkoa amesema atashirikiana kwa karibu na watendaji wa halmashauri hiyo ili kuhakikisha kuwa vyanzo vipya vya mapato vinapatikana na kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kuwapa mahitaji yao ikiwemo kuwawezesha kiuchumi.

“Niseme tu sina wasiwasi na halmashauri hii chini ya Mkurugenzi wake, Juma Mhina katika ukusanyaji wa mapato, niseme ninawapongeza na endeleeni kupiga kazi kwa kutetea maslahi ya wilaya na taifa”. Ameongeza Mkuu huyo wa wilaya.

ADVERTISEMENT

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Longido, Juma Mhina amesema halmashauri hiyo imefanikiwa kwa mara ya kwanza kutoa mkopo kwa asilimia 100 na kueleza kuwa wamepiga hatua kwani mwaka jana walitoa mkopo kwa asilimia 75 pekee.

“Miaka ya nyuma makusanyo yalikuwa madogo, ilikuwa Sh. 400 milioni ila kwa sasa tumepiga hatua kutoka hapo hadi Sh. 1 bilioni na kupitia mapato haya tunatoa asilimia 10 kutekeleza agizo la serikali”. Ameeleza Mhina.

Tags: fedhaFrank MwaisumbeLongidomapato
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Fahamu haya kuhusu pamba

Dk. Tizeba apongeza uzalishaji pamba

Discussion about this post

Habari Mpya

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 28, 2022

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 28, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 28, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 28, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 28, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 28, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

by Jensen Kato
June 28, 2022
0

Kilimo biashara kinaendelea kukua barani Afrika na muda umefika kwa watu hususani vijana kuchagamkia fursa mbalimbali zinazotokana na kilimo. Watu...

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 28, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In