• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Sunday, June 26, 2022
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Sababu nne za Ndungai, usindikaji mazao

Amezitaja sababu hizo wakati akifungua Mhadhara wa Umma ambao umeendeshwa katika chuo cha IFM.

Leah Nyudike by Leah Nyudike
April 29, 2019
in KILIMO
0
Share on FacebookShare on Twitter

Wakati akifungua Mhadhara wa Umma ambao umeendeshwa na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Spika wa Bunge, Job Ndungai ametaja hatua nne kwaajili ya maendeleo ya biashara zinazotokana na mazao ya kilimo na viwanda vinavyotokana na usindikaji wa mazao hayo.

Mhadhara huo ulilenga kujadili  mwelekeo wa upatikanaji wa chakula, kukuza mnyororo wa thamani wa bidhaa zinzotokana na kilimo duniani, huku ukienda sambamba na uzinduzi wa shahada ya Sayansi na Uchumi na fedha itakayotolewa na chuo hicho.

Mheshimiwa Ndungai, ametaja sababu hizo kuwa ni ulazima wa serikali kuwawekea mazingira mazuri na sera wafanyabiashara wadogo na wa kati pamoja na viwanda vinavyosindika mazao ya kilimo ili viweze kukua na kustawi.

Hatua nyingine amesema ni, kuwapa msaada wazalishaji wadogo ili waweze kushindana na soko la ndani, kikanda, na kimataifa kwa kuwapa mafunzo ambayo yatasaidia kuboresha stadi zao za usimamizi katika shughuli zao. Ameshauri chuo hicho kuwezesha mafunzo hayo kwa kutoa elimu na stadi za biashara katika suala zima la kilimo.

ADVERTISEMENT

Pia ametaja hatua nyingine kuwa ni upatikanaji dhaifu wa huduma za kifedha kwa mda mrefu jambo ambalo limedumaza maendeleo vijijini. Ndungai ametaja hatua ya nne kuwa ni umuhimu wa kufanya uwekezaji katika utafiti wa kilimo ili kuibua tekinolojia mpya katika upande wa kilimo ambazo zitasaidia changamoto za mabadiliko ya nchi.

Naye, Mkuu wa Chuo cha IFM, Tadeo Satta amesema katika hatua ya kuisaidia serikali kukuza sekta ya viwanda na uchumi, chuo hicho kimeona kuna umuhimu wa kuandaa mihadhara kama hiyo ili kutoa elimu kwa umma.

Tags: biasharaIFMJob NdungaimaendeleoUsindikajiviwanda
Leah Nyudike

Leah Nyudike

Mwandishi

Next Post
Punguza gharama kwa kufanya haya

Njia 5 salama za kuhifadhi akiba

Discussion about this post

Habari Mpya

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

June 24, 2022

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

June 23, 2022

Kilimo biashara, sekta yenye fursa za uwekezaji

June 23, 2022

Turkish Airlines yarejesha safari zake KIA

June 22, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla akizungumza katika warsha ya viongozi wa Serikali wa mkoa na Bank ya NMB.

Benki ya NMB yapongezwa

June 22, 2022

Rais Samia azindua taasisi Zanzibar

June 20, 2022

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Miamala ya simu yaongeza Pato la Taifa

by Pesatu Reporter
June 24, 2022
0

Miamala ya fedha kwa njia ya simu imechangia kuongezeka kwa pato la Taifa kutoka asilimia 40 mwaka 2013 hadi kufikia...

Mapendekezo bima ya afya kwa wote

by Pesatu Reporter
June 23, 2022
0

Mapendekezo yamepitishwa kwa kila Mtanzania kuwa na bima ya afya. Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa CCM (NEC) leo 23...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2022 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In