• Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
Saturday, September 23, 2023
  • Login
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI
No Result
View All Result
Pesatu
No Result
View All Result

Wakulima walilia malipo Mbeya

"Ukiwakuta wakulima watano mmoja pekee ndio anapanda kahawa kwa kutumia mbolea na wengine wanapanda bila mbolea”

Patricia Richard by Patricia Richard
December 13, 2018
in KILIMO
0
USDF yawapa tumaini wakulima kahawa
Share on FacebookShare on Twitter

Kufuatia vyama vya ushirika kushindwa kuwapatia malipo yao kwa wakati, baadhi ya wakulima wa kahawa mkoani Mbeya wameanza kupanda miche pasipo kuwa na mbolea kutokana na kukosa fedha. Ofisa Mtendaji wa Kata ya Iwiji, Waziri Mwasenga amesema vyama hivyo vimechelewesha malipo na kupelekea wakulima kokosa fedha kwa ajili ya kununua mbolea kwa ajili ya msimu wa kupanda. Ofisa huyo ametoa wit kwa serikali kuingilia kati sintofahamu hiyo ili wakulima waweze kulipwa wanachostahili na kuendeleza kilimo chao.

“Vyama vingi vya ushirika kwa sasa vimekufa lakini vilikopa kahawa yetu na madhara yake yanaonekana, kila ukiwakuta wakulima watano mmoja pekee ndio anapanda kahawa kwa kutumia mbolea na wengine wanapanda bila mbolea”. Ameeleza Mwasenga.

ADVERTISEMENT

Kwa upande wake, Muweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Mpakani Kalinga amesema fedha za wakulima hazipiti kwa halmashauri  baada ya Bodi ya kahawa kuuza zao hilo na kuwataka wakulima kuwa watulivu wakati wakisubiri serikali ishughulikie suala hilo na kuhakikisha wanapata haki zao.

“Tunaomba mtuachie hili suala tulifuatilie ili tuone nini kilichotokea kwenye malipo ya wakulima hao, hatutegemei wakulima wakate tamaa maana kahawa ni zao muhimu sana”. Amesema Kalinga.

Tags: fedhakahawambeyambolea
Patricia Richard

Patricia Richard

Next Post
Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Mhandisi Stella Manyanya, akisisitiza jambo kwenye kikao na wawakilishi wa Umoja wa Wabanguaji Wadogo wa Korosho Tanzania(UWWKT). Pembeni ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga, Mkurugenzi Mkuu wa SIDO Prof. Sylvester Mpanduji na Mwenyekiti wa UWWKT Tumpale Magehema.

UWWKT wampongeza Rais Magufuli

Discussion about this post

Habari Mpya

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

September 14, 2023

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

September 14, 2023
Naibu Waziri wa Fedha Hamad Hassan Chande.

Tanzania yapiga hatua utakatishaji fedha

September 12, 2023
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Picha| Ikulu

Tutawaunganisha wakulima na soko: Rais Samia

September 11, 2023

Mbaazi yaleta neema kwa wakulima 2023

September 7, 2023

Bei za mafuta zapanda tena Tz

September 6, 2023

KUHUSU SISI

PesaTu ni kitengo cha habari cha MediaPix ambacho huandika makala za biashara na uchumi wa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla. Waasisi wa kampuni wana uzoefu mkubwa kwenye tasnia ya habari na mawasiliano wakiwa kwenye fani hio tangu mwaka 1905. PesaTu inamlenga kila mtu ambaye kwa namna moja au nyingine anaguswa na anapenda kujua/ kufuatilia masuala mbalimbali ya kiuchumi ya nchi ikiwemo ujasiriamali, uwekezaji, viwanda, kilimo na hisa.

LATEST

Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki.

Wadau ufugaji nyuki watakiwa kuchangamkia fursa

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Tanzania ni nchi ya pili kwa uzalishaji wa asali barani Afrika na inashika nafasi ya 14 dunia. Ethiopia, ndio nchi...

Benki ya Exim yajikita uwazi shughuli za bima

by Pesatu Reporter
September 14, 2023
0

Benki ya Exim imezindua ushirikiano wa kimkakati na Mamlaka ya Udhibiti wa Bima Tanzania (TIRA) pamoja na kufanya mafunzo ya...

RECOMMENDED

Waziri Mwijange aja na orodha ya viwanda visivyofanya kazi

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

  Na Mwandishi wetu. Baada ya Rais John Magufuli kuonyesha kukerwa na kitendo cha Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji...

Nane Nane itumike kama darasa huru kwa wakulima

by Patricia Richard
March 23, 2018
0

Na Mwandishi wetu Tume ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) imejitolea kuwapa mafunzo ya siku moja wakulima mkoani Lindi...

No Result
View All Result
  • Home
  • FEDHA
    • MIKOPO
    • BIMA
    • HISA
  • BENKI
  • BIASHARA
    • UJASIRIAMALI
    • UWEKEZAJI
    • BIASHARA NDOGO NDOGO
  • VIWANDA
    • MIUNDOMBINU
    • NISHATI
    • UZALISHAJI
  • KILIMO
    • KILIMO BIASHARA
    • KILIMO UFUNDI
  • MAHOJIANO
  • AFRIKA MASHARIKI
    • BIASHARA
    • FEDHA
    • UJASIRIAMALI

© 2023 JNews - Premium WordPress news & magazine theme by Jegtheme.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In